Tonybla
Member
- Jun 3, 2022
- 88
- 87
Hawa nawaonbea tu kama hawatakufa kifo cha kizamani Cha marehemu Mabina, kifo cha mawe, shenzytype watu wanatesekaWatu wa Singida especially Wanyiramba ni ** au **** kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa nawaonbea tu kama hawatakufa kifo cha kizamani Cha marehemu Mabina, kifo cha mawe, shenzytype watu wanatesekaWatu wa Singida especially Wanyiramba ni ** au **** kabisa
Wenye akili kama hizi wako tu huku Nangunde?TAMISEMI ikatae huo ujinga! Kwani majengo yakiwa ya serikali kuu yana shida gani? Hayo watakayojenga hapo Misigiri wameshindwa nini kuyajenga huko huko Kiomboi?
Hata majengo ya ofisi pia hayahami bali ofisi (watu, documents na mafile)ndiyo huhama.Kwani Shida nini? Mfano Mbona Makao
Makuu ya Nchi yemehamishiwa Dodoma lakini Mji wa dar unaendelea ku shine na Vilevile Mji wa Dodoma unaendelea Kushine nakuifanya Miji yote kuwa Bambam. Kukuza Miji Midogo siyo hasara ila ni faida kwa Halmashauri na Mkoa Husika.
Hizi Hisia za Kwamba Mji unahamishwa hakuna kinachohishwa ila Majengo ya Ofisi ndo yanahamia huko.
Walipohama Old Kiomboi wakaenda huko ndani ndani yalikuwa maslahi binafsi heri ife tu.Wewe ni mjinga.Badala kupaboresha,unaamua kupaua kabisa.
Wenye akili kama hizi wako tu huku Nangunde?
Mawazo ya hovyo kabisa.Walipohama Old Kiomboi wakaenda huko ndani ndani yalikuwa maslahi binafsi heri ife tu.
Misigiri pako Main road, panafikika kirahisiMisigiri pamechangamka sana
Hapo misigiri ni kijijini hakuna nyumba zenye hadhi ya wilaya.Wanajenga upya.Hata majengo ya ofisi pia hayahami bali ofisi (watu, documents na mafile)ndiyo huhama.
Wanakohamia ndiyo hujengwa majengo mapya ya ofisi ama kupanga.
Hiyo sio hoja.Misigiri pako Main road, panafikika kirahisi
Siyo kila jambo la serikali ni kushirikisha wananchi mambo mengine yanahitaji maamuzi tu faida mtakuja kuiona huko mbeleni. Mambo ya kuchelewesha maendeleo hayana mjadala.Hoja sio kuchangamka bali kutoshirikishwa wananchi.
Wanaakili watatoa kura in exchange na t-shirt au kofia?Kabisa.
Ana PHD lknMwigulu hajawahi kumiliki akili
Hizi za kununua?Ana PHD lkn
Kama ya msukuma hazina tofauti.Hizi za kununua?
Wewe utakuwa mtu wa Kisiriri siyo bureMawazo ya hovyo kabisa.
Ghorofa Misigiri liko eneo gani mkuu! Huko ni home na sijawahi liona?? Watz tunalishana sana matango pori!Amejenga Bonge la ghorofa mkuu.Na ana miradi hapo.