Makao makuu ya wilaya ya Iramba, Mwigulu anahusika

TAMISEMI ikatae huo ujinga! Kwani majengo yakiwa ya serikali kuu yana shida gani? Hayo watakayojenga hapo Misigiri wameshindwa nini kuyajenga huko huko Kiomboi?
Wenye akili kama hizi wako tu huku Nangunde?
 
Hata majengo ya ofisi pia hayahami bali ofisi (watu, documents na mafile)ndiyo huhama.
Wanakohamia ndiyo hujengwa majengo mapya ya ofisi ama kupanga.
 
Sasa hapo kiomboi pana nini cha maana si afadhali ya misigiri nyie wanyira vipii
 
Hoja sio kuchangamka bali kutoshirikishwa wananchi.
Siyo kila jambo la serikali ni kushirikisha wananchi mambo mengine yanahitaji maamuzi tu faida mtakuja kuiona huko mbeleni. Mambo ya kuchelewesha maendeleo hayana mjadala.
 
Kuna sababu nyingi za maana kuhamisha makao makuu ya wilaya kutoka kiomboi kwenda misigiri! ni mwenye nia ovu na iramba tu ndiye atakayepinga wazo hili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…