makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Umenikumbusha taarabu moja, ni mzee Yusuf yule nadhani....mashaka hana ila wasiwasi ndiyo akili. Tutajuaje wakati hamjaachana?
Kuna majambo tu yananipeleka puta kipenzi changu, yaani we acha tu.Mi sijakuzoea hivyo bwana!
Nami ndio nasubiri wakati huo, nimechoka kukaa benchi nataka nirudi kwenye mchezo haraka.....duh, sasa veterani hapo si ndo mpaka wakati wa mavuno? na kitoto kishatambaa zake, unaruudi kwenye harakati za dokta love
Baridi hili linahitaji nguvu ya wawili kulishinda....lol. Ndiyo maana mdugu nimeweka tangazo humu kwamba baridi hili linahitaji jirani mtunza siri. Sio mwenyekiti wa kikundi cha kufa na kuzikana
Matumizi mabaya ya upendo.Nampenda hivyohivyo 🤣
Basi sawa, endelea kupambana.Kuna majambo tu yananipeleka puta kipenzi changu, yaani we acha tu.
🤣🤣🤣🤣🤣 kwanini mwenyekiti wa kufa na kuzikana sasa!...lol. Ndiyo maana mdugu nimeweka tangazo humu kwamba baridi hili linahitaji jirani mtunza siri. Sio mwenyekiti wa kikundi cha kufa na kuzikana
Nashukuru kipenzi, napambana mamiiBasi sawa, endelea kupambana.
Niacheeee we auntie [emoji1787]Matumizi mabaya ya upendo.
....hana siri, usipotoa mchango lazima aseme hata kama ulimfuata faragha kuomba udhuru.🤣🤣🤣🤣🤣 kwanini mwenyekiti wa kufa na kuzikana sasa!
Aikooooh! My wii unaroho ngumu kama kaka wenu wuuu! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nampenda hivyohivyo 🤣
Sikuachiii mpaka akili zikurudie.Niacheeee we auntie [emoji1787]
Habari wana JF
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote hum
Karibu sana
🤣🤣🤣🤣🤣....hana siri, usipotoa mchango lazima aseme hata kama ulimfuata faragha kuomba udhuru.
Utamsikia "watu mnachelewesha michango, mfano huyu Atoto kasema atatoa wiki ijayo wakati wiki iliyosha alikuwa anakula Bata bagamoyo, jamani huu ni msiba mchango utoke kabla ya hayati hajageuka"
Huu mfano hauna mfanano na yeyote humu, majina yaliyotumika ni ya kubuni
Asubuhi Njema
My wiiiii bora msukule uliyemzoea kuliko upate mpya [emoji1787]Aikooooh! My wii unaroho ngumu kama kaka wenu wuuu! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila auntieee [emoji1787] nimekuona sehemu unabebishana na eroni ukija huku na maka jamani hivi unao wangapiiiiiSikuachiii mpaka akili zikurudie.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....hana siri, usipotoa mchango lazima aseme hata kama ulimfuata faragha kuomba udhuru.
Utamsikia "watu mnachelewesha michango, mfano huyu Atoto kasema atatoa wiki ijayo wakati wiki iliyosha alikuwa anakula Bata bagamoyo, jamani huu ni msiba mchango utoke kabla ya hayati hajageuka"
Huu mfano hauna mfanano na yeyote humu, majina yaliyotumika ni ya kubuni
Asubuhi Njema
Auntie unataka kusemaje kwa mfano?🤣🤣🤣🤣Ila auntieee [emoji1787] nimekuona sehemu unabebishana na eroni ukija huku na maka jamani hivi unao wangapiiiii
Me nimeuliza tu auntie [emoji1787] mume wangu anasaka maokotoAuntie unataka kusemaje kwa mfano?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mumeo yuko wapi?
Utakufa mdomo wazi!!🤣🤣🤣Me nimeuliza tu auntie [emoji1787] mume wangu anasaka maokoto