[emoji8][emoji8][emoji120][emoji120]Ahsante sana Dogo lake...
Wahalla!!Mimi hata sijaangalia handbag..Sare sare [emoji7][emoji7][emoji7]
Mimi nilikuwaga nayo Maroon.[emoji28]Same colour na pink yake[emoji1787]
Dada wa Makamo..La pink sio tamu kama lile lingine.
Sikutanagi naye hata, sijui ananyata🤣🤣[emoji1787]Alooh utakutana naye uko kwenye kuzurura auntie
Chakula changu pendwa😭😭Huenda ukawa umeshtushwa na upungufu wa dagaa unaojitokeza kwenye baadhi ya masoko jijini Dar es Salaam.
Mwananchi jana iliweka kambi katika katika Soko la Kimataifa la Samaki Ferry na kubaini ndoo moja ya lita 20 ya dagaa mchele imepanda kutoka wastani wa Sh40,000 hadi Sh70,000 ndani ya wiki mbili zilizopita.
Kutokana na mazingira hayo, wafanyabiashara wa dagaa wa kukaanga katika magenge jijini hapa wamesema bei ya fungu la Sh1,000 haitabadilika, isipokuwa wamelazimika kupunguza wingi wake.
View attachment 2817753
🤣🤣🤣🤣🤣Wahalla!!Mimi hata sijaangalia handbag..
Kuna vitu vyangu nimeona nitaomba muongozo [emoji3]
Maroon ni nzuri nilimuona nayo mtu. Nilikuwa na red ndogo yake.Mimi nilikuwaga nayo Maroon.[emoji28]
Kwanini dada wa makamo lakini🤣🤣🤣Dada wa Makamo..
Safiii[emoji7][emoji7][emoji7]
Ndiyo haiwezekani...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tufanye haujaona kabisa.