Makapuku Forum

Kama upepo wa hidaya [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii watu mna nn nyie na Hidaya? juzi huku mtaani kuna mtu ananambia "wee kiumbe una hatar hata kimbunga Hidaya hakifikii" nkamjibu sio Hidaya hata Latiffa hakioni ndani.

Alichekaa yulee mwehu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akili zako hazijawahi kuwa na akili. 😂🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…