Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie wewe ni mtaalamu wa kutafuta vilivyopotea. Nitafutie tu maka wangu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] atakuja tu auntie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie wewe ni mtaalamu wa kutafuta vilivyopotea. Nitafutie tu maka wangu.
Haya ndio MAHUSIANO YASIYOHUSIANA [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] auntie kaja maka wako
Kama upepo wa hidaya 😂Ila cocs [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unavyoibukaga
Nilikuwa nimemuweka kwenye darubini namzoom tu, sasa kama ananimisi hivi shunie jiandae tukapeleke posa kabisa.
Kama upepo wa hidaya [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naibukaa pale penye special occasions?!! WoiiiiiihIla cocs [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unavyoibukaga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii watu mna nn nyie na Hidaya? juzi huku mtaani kuna mtu ananambia "wee kiumbe una hatar hata kimbunga Hidaya hakifikii" nkamjibu sio Hidaya hata Latiffa hakioni ndani.Kama upepo wa hidaya [emoji23]
Penzi letu la maonesho a.k.a penzi tangazo, tukipeana namba nani atajua tunadate, tukimisiana tunakuja kusakana makapuku, ili iwe tangazo kila mtu ajua Makaveli10 nimekamatika na Atoto 🤣Ebu fanya mpeane no bwanah [emoji1787] anatupigia kelele
Akili zako hazijawahi kuwa na akili. 😂🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii watu mna nn nyie na Hidaya? juzi huku mtaani kuna mtu ananambia "wee kiumbe una hatar hata kimbunga Hidaya hakifikii" nkamjibu sio Hidaya hata Latiffa hakioni ndani.
Alichekaa yulee mwehu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii!!!Akili zako hazijawahi kuwa na akili. [emoji23][emoji1787]
Heeeh!! Bebe walikuiba?Nipo ☝️
🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] auntie kaja maka wako
Tulia wewe🤣Ebu fanya mpeane no bwanah [emoji1787] anatupigia kelele