Makapuku Forum

Makapuku Forum

Auntie hivyo vitu usivyovielewa ndio vipo kuja kwangu sasa hawaruhusu kucomment mpaka ulipie yaani nimekuwa mvivu kucomment

Huo muamala umeuona eenh na simu yako naiona 🤣🤣🤣 yaani nimekumbuka auntie kazaliwa November 14 ndio nakumbuka saa hii agiza flying fish auntie ujinywee au wine nisamehe bure ni huu uzee nimesahau lakini hii week yote ulikuwa moyoni mwangu Makiwendo

Happy birthday auntie yangu kipenzi 🥰 sijutii kukufahamu kabisa yaani Mungu wangu azidi kukupa maisha marefu zaidiii yenye baraka nyingiiiii Asante sana melo na Jf yako kwa kunikutanisha na huyu mrembo wangu 🙏🤭 auntie maki nakupenda upo moyoni kwangu 😍

Najua nimechelewa kukuwish hakijaharibika kitu auntie Atoto Obe makaveli10 mbalizi1 moudgulf Poker Lee na makapuku wote njooni tumuwish auntie yangu 🥰 tunapokea zawadi jamaniiii haswa miamala 🤣🤣🤣 auntie simu zako na text zako naziona nipo busy Kütype jua tu nakupenda sanaaaa 🥰 Tresor Mandala min -me ERoni Sakayo ndugu yangu nakujua wewe 🤣🤣 utapitia kimyakimya njoo apa tumuwish auntie makii Mzigua90 Dejane reymage njoeniiiii 🥰🤣
...JF app ni mpaka ulipie kumbe? Sasa kwa sisi tunaotegemea wifi ya masjid maana yake tulipe mara mbili?
 
Happy Birthday mkuu Makiwendo .
Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu yenye kheri Duniani na Akhera 🙏🙏
Kwamba muamala unatumwaje kusindikiza siku yako hii muhimu!?
Amekuja pm moud kukupa no au nije mimi niku🤣🤣🤣
Happy Birthday mkuu Makiwendo .
Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu yenye kheri Duniani na Akhera 🙏🙏
Kwamba muamala unatumwaje kusindikiza siku yako hii muhimu!?
Moud Amekuja pm kukupa no au nije mimi nikupe 🤣🤣
 
Back
Top Bottom