Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gonga vitu, bili yake ni kwangu.Fanya namna nipo ya sita hapa Makaveli
Heeeeh jamani, zawadi nayo ni kitu ya kumnyima mtu!!!🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi ni lini utaacha ujinga lakini?
Tuliaaaaaaa🤣Mmmmmmmmh!!!
Kumekucha😀
Barikiwa sanaAhsante Mbalizi
Duh, aisee nilidhani msimu wa sikukuu umekaribia kumbe hadi mitihani ya fomufoo iishe. Ha hahahahaha
...JF app ni mpaka ulipie kumbe? Sasa kwa sisi tunaotegemea wifi ya masjid maana yake tulipe mara mbili?Auntie hivyo vitu usivyovielewa ndio vipo kuja kwangu sasa hawaruhusu kucomment mpaka ulipie yaani nimekuwa mvivu kucomment
Huo muamala umeuona eenh na simu yako naiona 🤣🤣🤣 yaani nimekumbuka auntie kazaliwa November 14 ndio nakumbuka saa hii agiza flying fish auntie ujinywee au wine nisamehe bure ni huu uzee nimesahau lakini hii week yote ulikuwa moyoni mwangu Makiwendo
Happy birthday auntie yangu kipenzi 🥰 sijutii kukufahamu kabisa yaani Mungu wangu azidi kukupa maisha marefu zaidiii yenye baraka nyingiiiii Asante sana melo na Jf yako kwa kunikutanisha na huyu mrembo wangu 🙏🤭 auntie maki nakupenda upo moyoni kwangu 😍
Najua nimechelewa kukuwish hakijaharibika kitu auntie Atoto Obe makaveli10 mbalizi1 moudgulf Poker Lee na makapuku wote njooni tumuwish auntie yangu 🥰 tunapokea zawadi jamaniiii haswa miamala 🤣🤣🤣 auntie simu zako na text zako naziona nipo busy Kütype jua tu nakupenda sanaaaa 🥰 Tresor Mandala min -me ERoni Sakayo ndugu yangu nakujua wewe 🤣🤣 utapitia kimyakimya njoo apa tumuwish auntie makii Mzigua90 Dejane reymage njoeniiiii 🥰🤣
Ndugu mstaafu naona umeibuka baada ya sherehe kuisha. Ila naomba nikuambie zawadi bado inahitajika.Duh, aisee nilidhani msimu wa sikukuu umekaribia kumbe hadi mitihani ya fomufoo iishe. Ha hahahahaha
Eeenh tenaaaa 🤣🤣
Khaaaaaa 🤣🤣🤣Anywe flying fish 10, akiweza kumaliza na nyingine akibeba hakuna tabu, nitalipa mimi.
Amekuja pm moud kukupa no au nije mimi niku🤣🤣🤣Happy Birthday mkuu Makiwendo .
Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu yenye kheri Duniani na Akhera 🙏🙏
Kwamba muamala unatumwaje kusindikiza siku yako hii muhimu!?
Moud Amekuja pm kukupa no au nije mimi nikupe 🤣🤣Happy Birthday mkuu Makiwendo .
Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu yenye kheri Duniani na Akhera 🙏🙏
Kwamba muamala unatumwaje kusindikiza siku yako hii muhimu!?
Ameeen 🙏🥰 kipenzi changuNakupenda zaidi Auntie wangu mzuri...
Ahsante kwa kila kitu kipenzi...Mungu asikupungukie Auntie wangu...na Mungu azidi kutuweka zaidi na zaidi..
Ndiyo....Muamala nimeuona bhana..Ubarikiwe tu Auntie...
Nakupenda
Ewaaah 🤣🤣🤣 haya ndio mambo napenda kusikia auntie
Muamala ulisoma kweli maka akeee jamaniiiGonga vitu, bili yake ni kwangu.
Ninachokupendea tajiri yangu ukiwa unaongea hiviii muamala umeacha soma 🤣Heeeeh jamani, zawadi nayo ni kitu ya kumnyima mtu!!!
🤣🤣Duh, aisee nilidhani msimu wa sikukuu umekaribia kumbe hadi mitihani ya fomufoo iishe. Ha hahahahaha
🤣🤣🤣 Sio app ya jf binamu...JF app ni mpaka ulipie kumbe? Sasa kwa sisi tunaotegemea wifi ya masjid maana yake tulipe mara mbili?
Ewaaah bado tu napokea auntieNdugu mstaafu naona umeibuka baada ya sherehe kuisha. Ila naomba nikuambie zawadi bado inahitajika.
Itakuwa kalewa sana, hakunitumia bili.Muamala ulisoma kweli maka akeee jamaniii