makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Password zenyewe ni za kiarabu. 🤣...JF app ni mpaka ulipie kumbe? Sasa kwa sisi tunaotegemea wifi ya masjid maana yake tulipe mara mbili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Password zenyewe ni za kiarabu. 🤣...JF app ni mpaka ulipie kumbe? Sasa kwa sisi tunaotegemea wifi ya masjid maana yake tulipe mara mbili?
Shunie ake mbona unaleta janja janja... Nipewe bili hapa nalipa chap kwa haraka.Ebu tuma kwangu nimfikishie maka akee Makiwendo auntie unafeli wapiii
Ndioooo🤣🤣Eeenh tenaaaa 🤣🤣
Kabisa kabisa, asijikaushe🤣Ewaaah bado tu napokea auntie
🤣🤣 Kwahiyo nikupe no mimiShunie ake mbona unaleta janja janja... Nipewe bili hapa nalipa chap kwa haraka.
Nipokelee kwa niaba Auntie...Amekuja pm moud kukupa no au nije mimi niku🤣🤣🤣
Moud Amekuja pm kukupa no au nije mimi nikupe 🤣🤣
Nipo nasubiria tangu jana simuelewiMuamala ulisoma kweli maka akeee jamaniii
Namba ya nini Shunie akee, kwani tupo shule 🤣🤣🤣🤣 Kwahiyo nikupe no mimi
Acha uhuni basi 😀Nipo nasubiria tangu jana simuelewi
Wewe tena huyo😀Namba ya nini Shunie akee, kwani tupo shule 🤣🤣
Weka bili na lipa namba
Hawezi nisahau.. 🤣Auntie nipokelee bhana...
Wewe Makaveli umemsahau😅
Mie huyo..Wewe tena huyo😀
Mbona mimi huwa hunipi haya mamlaka🙆♂️🙆♂️🙆♂️Nipokelee kwa niaba Auntie...
Huyo Mzee bhana😀
Kwa kichwa chako wewe ninavyokijua🤣🤣🤣Mbona mimi huwa hunipi haya mamlaka🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Aaah jamani, ndio unataka kusemaje?Kwa kichwa chako wewe ninavyokijua🤣🤣🤣
Sijamuona🤣🤣Amekuja pm moud kukupa no au nije mimi niku🤣🤣🤣
Moud Amekuja pm kukupa no au nije mimi nikupe 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Nipokelee kwa niaba Auntie...
Huyo Mzee bhana😀
Daah maka kweliiiNipo nasubiria tangu jana simuelewi