Hivi ni Ibra ndio ndio anatakiwa anunue Actros benz truck ?? Sijui hata kama anaweza toa Leyland Comet inayotengenezwa hapa South AfricaKweli tumetoka mbali sanaa, watu walikuwa wanajisifia jinsi wanavyomiliki gari za kifahari na jinsi wanavyoangaliana kwenye foleni, sisi na baiskeli zetu ndo tukakutana,
Ibra dawa yake ni Actros tu akiweza ainunue sio kulia lia bure tu hapa
Sawa mkuu,upumzike kwa amaniBado kidogo
Lol lala kesho usikose kuja kwenye huu uzi mana ni kama maji
Naenda session kuna eneo kuna shida kidogoSawa mkuu,upumzike kwa amani
Haha Upumzike kwa amani ,tungo tata sana hiiSawa mkuu,upumzike kwa amani
Usije ukakatiza njia hii,utadondoka na ungo.Naenda session kuna eneo kuna shida kidogo
Rest in peaceHaha Upumzike kwa amani ,tungo tata sana hii
Mkuu namaanisha alale salama.Haha Upumzike kwa amani ,tungo tata sana hii
Ni yeye ndo anaetakiwa kununua Actros na model ni ile ya kwenye picha, amezidi kulia kulia sasa huu ni wakati muafaka kwa yeye kuonyesha uwezo[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hivi ni Ibra ndio ndio anatakiwa anunue Actros benz truck ?? Sijui hata kama anaweza toa Leyland Comet inayotengenezwa hapa South Africa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Rest in peace
Subiria zamu yako ifike... Rip sio kazi ndogo mkuu.. Ukinambia ivyo usingizi unakataMkuu namaanisha alale salama.
Ni kweli unaamnisha alale salama ,tatizo linakuja ukilimuvuzisha kwendwa kwenye KirengesaMkuu namaanisha alale salama.
HahhahahaaaaSubiria zamu yako ifike... Rip sio kazi ndogo mkuu.. Ukinambia ivyo usingizi unakata
Leo unalala saa hizi????Sawa mkuu,upumzike kwa amani
Haha asante mama ,unamaanisha mimi ni rest in peace au umesaidia kutoa maana kwa kirengesa ??Rest in peace
Mbona mapema??Ntaondoka muda si mrefu
Ulale salama, kwa Amani [emoji87] [emoji87][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli maisha matamu.Subiria zamu yako ifike... Rip sio kazi ndogo mkuu.. Ukinambia ivyo usingizi unakata