Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kweli tumetoka mbali sanaa, watu walikuwa wanajisifia jinsi wanavyomiliki gari za kifahari na jinsi wanavyoangaliana kwenye foleni, sisi na baiskeli zetu ndo tukakutana,
Ibra dawa yake ni Actros tu akiweza ainunue sio kulia lia bure tu hapa
Hivi ni Ibra ndio ndio anatakiwa anunue Actros benz truck ?? Sijui hata kama anaweza toa Leyland Comet inayotengenezwa hapa South Africa
 
Hivi ni Ibra ndio ndio anatakiwa anunue Actros benz truck ?? Sijui hata kama anaweza toa Leyland Comet inayotengenezwa hapa South Africa
Ni yeye ndo anaetakiwa kununua Actros na model ni ile ya kwenye picha, amezidi kulia kulia sasa huu ni wakati muafaka kwa yeye kuonyesha uwezo[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
24032bcfc76efc9fb74a44210ba31747.jpg
 
Back
Top Bottom