Penat ya waziii mbona wao wamepewa iweje sie tubaniweNdio imeshatoka hiyo. Ushindi kawapora nani?
Wakati nyie mna rekodi nzuri kwa atletico
Kivipi??Nasikia Iniesta ndo mrithi sahihi wa Cassilas
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]
.....................
Penat tumenyimwammeporwa ushindi kivipi?
embu fafanua hapo..
Kudaka mipira
Kivipi??
Tukutane mwez wa 8eti nasikia baada ya gem mashabiki wa ATM walikua wanaimba ule wimbo wa mwana FA asanteni kwa kuja
Mechi ya kwanza Torres alipewa red card.Penat ya waziii mbona wao wamepewa iweje sie tubaniwe
penati gani ya nje ya 18?Penat tumenyimwa
Hehehehehe basi watafungwa mengi.......Kudaka mipira
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
.....................
Swala la Pique hawalioni.... Wanataka penati lolpenati gani ya nje ya 18?
na vipi ile ya Gerrad Pique aliyomshika miguu mchezaji wa Atletico ndan ya 18?
Usiku mwemaKesho guys
tena walibebwa sana..Swala la Pique hawalioni.... Wanataka penati lol
Kabalance sababu tumetolew?Mechi ya kwanza Torres alipewa red card.
Leo refa amebalance tu.
Nje ya 18 daaaah kweli chuki yako juu ya Barcelona ni kali saaanapenati gani ya nje ya 18?
na vipi ile ya Gerrad Pique aliyomshika miguu mchezaji wa Atletico ndan ya 18?
Kwani Leo Suarez vampire hakuwepo uwanjani au?Kabalance sababu tumetolew?
Kwa uchambuzi huu Bongo tunasafar ndefutena walibebwa sana..
Iniesta pale alipodaka mpia alifaa apigwe red card kwa sababu alikiwa mchezaji wa mwisho.
na Gerrad Pique pia alifaa apigwe red card kwa kumshika miguu mchezaji wa Atletico kwa makusudi kabisa.
sasa huoni hapo pia walibebwa sana..
wala hajabalance, refa kawabeba Barca sana tuu..Kabalance sababu tumetolew?
najua huwezi kujitetea kwa chochote hapa..Kwa uchambuzi huu Bongo tunasafar ndefu