Uzuri ni kwamba pamoja na kubebwa koote huko, wamepigwa!!!tena walibebwa sana..
Iniesta pale alipodaka mpia alifaa apigwe red card kwa sababu alikiwa mchezaji wa mwisho.
na Gerrad Pique pia alifaa apigwe red card kwa kumshika miguu mchezaji wa Atletico kwa makusudi kabisa.
sasa huoni hapo pia walibebwa sana..
Barcelona imekukosea nini had unaichukia saaaanawala hajabalance, refa kawabeba Barca sana tuu..
sema ndo hvyo leo wameshindwa kubebeka
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
hivi uliiona ile faulu vzur au umehadithiwa?Nje ya 18 daaaah kweli chuki yako juu ya Barcelona ni kali saaana
Wewe mbona unaichukia Manchester unitedBarcelona imekukosea nini had unaichukia saaaana
Uzuri ni kwamba pamoja na kubebwa koote huko, wamepigwa!!!
Sikio la kufa haliwez sikia dawa hata nikikueleza vip bado utapinganajua huwezi kujitetea kwa chochote hapa..
ndo mana unakwepa swali..
basi embu leta huo uchambuzi wako hapa tukuone bwana mchambuzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uzuri ni kwamba pamoja na kubebwa koote huko, wamepigwa!!!
'siku ya kufa nyani'.... Hilo vampire suares lilikua linateleza tu. MSN imepwaya walikua wanatafuta magoli ya penati tu leoKwani Leo Suarez vampire hakuwepo uwanjani au?
MSN
wala siichukii, ila nacheka sana kuona leo mmetolewa huku hamna sababu yoyote ya kujitetea..Barcelona imekukosea nini had unaichukia saaaana
"Miti yote huteleza" na penati zenyewe wamekosa wamepata wapinzani'siku ya kufa nyani'.... Hilo vampire suares lilikua linateleza tu. MSN imepwaya walikua wanatafuta magoli ya penati tu leo
Sababu penat ya waziwala siichukii, ila nacheka sana kuona leo mmetolewa huku hamna sababu yoyote ya kujitetea..
Neyma na Suares wamekabwa sànà leo mpka wanacheza rafu za wazi kabisa na kupigwa yellow card
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12]
yani leo hauna cha kujitetea kabisa ni bora ukanyamaza kimya tu..Sikio la kufa haliwez sikia dawa hata nikikueleza vip bado utapinga
ona sasa umekosa cha kujitetea..Sababu penat ya wazi
Karibu sana rafikiBarcelona wameniangusha bora niwe nashinda Makapuku forum
Asante saaaaana Mr Mwanitesa UnitedKaribu sana rafiki
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji15]Asante saaaaana Mr Mwanitesa United
Mimi nipo mkuu japo chaji inanitupa mkono na kila nikifumba macho namuona refa akikataa penatCc. PNC 1
where are you my brotherhood?
au ndo umekimbia tena...???
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aiseeee!!Mimi nipo mkuu japo chaji inanitupa mkono na kila nikifumba macho namuona refa akikataa penat
Bado mnalinda kwa crude weapon...Sawa kabisa mkuu, nimepokea kijiti