Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Hamna sehemu nzuri kama hapaHii sehemu safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna sehemu nzuri kama hapaHii sehemu safi sana
[emoji101] [emoji101]Mkuu naomba nisaidie kusoma jina lako!
Mkuu nikija kujua nitakutoa kishipa.Kumbe ulisikia huna uhakika
Mi mzima wewe je hili joto nataka nihamie Simiyu mimi..
Lol!!!big dick is back in jf
Hahahawe tulikuwa tunajadili boko haram kule na like nimekupa..bado waja huku walalamika..Wataka like ngapi sema nkupe ulale vizur😕😕😕
Mh![emoji15] [emoji15] [emoji15] hardickbig dick is back in jf
Asante sana.... [emoji120]Karibu sana
Kama kawaida mkuu, nimepata jiko.Mkuu umeshapata mke![emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mimi mzima pia. Mimi ndio prime minister wa Makapuku.Mi mzima wewe je hili joto nataka nihamie Simiyu mimi..
Tunafanya vizuri MAKAPUKU team.[emoji641] [emoji646], [emoji646] [emoji646] [emoji646]
Views loading....
Makapuku mpo juu
..............................
Hakuna kabisaaaaaaa! Hakika hapa ndo penyeweHamna sehemu nzuri kama hapa
Hahaha usinitishe weweMkuu nikija kujua nitakutoa kishipa.
Mkuu asante sana kwakuwa umeliona hiloKiukweli kutoka moyoni nimeikubali hii sehemu maana watu wanachangia, tupia like na mambo mengine kama hayo....heshima kwako uliefikiria kuanzisha forum hii maana hata kapuku mimi najiona next level......!
Hajatoa mpaka sasa yupo kimya.Haaa hivi alitoa jibu letu????!!
Karibu sana na ujisikie uko huruKiukweli kutoka moyoni nimeikubali hii sehemu maana watu wanachangia, tupia like na mambo mengine kama hayo....heshima kwako uliefikiria kuanzisha forum hii maana hata kapuku mimi najiona next level......!
Wewe endelea tu.Hahaha usinitishe wewe
hilo pendo ndo hii wat so called "like" ama??na mimi naomba pendo lako