Hahahahahahaaa wewe ukishusha nondo mwisho likes tano!!!Nasikia kuna wakongwe zinasoma mpaka 30
Kuna mkuu alisema leo usipopata likes labda kama una antilikesHuku ni mwendo wa likes mpaka ziishe [emoji38] [emoji12]
Unaona umeamua kurudiUkapuku raha mkuu hata usingiz haujii
Hahahaha wataelewa tuWanafikiri kila kapuku bado ananyonya.....
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Basi hapa ndio sehemu yako ya kujidai, kama bado hujawekwa kwenye list mcheki Th Name akuuweke pale kwenye list yetu. Sisi kazi yetu ni kupeana sapoti na kuhakikisha dharau inaisha kabisaHahahahaa kuna watu wamejibinafsishia jf....eti umejiunga juzi!!! Kwani kuwa jf siku nyingi ndio kuwa na busara na ufahamu!!!
Me huwa nawapotezea tu!!!
あかなはやかさ!!!
Sijakuelewa hapaKuna sehemu nimelike ya 6 ikasoma at
Yaan nazid kunogewaa na likes kwel makapuku tumeamuaaUnaona umeamua kurudi
Na hcho ndo kipaUmbelee chetu kwa nyakati hziBasi hapa ndio sehemu yako ya kujidai, kama bado hujawekwa kwenye list mcheki Th Name akuuweke pale kwenye list yetu. Sisi kazi yetu ni kupeana sapoti na kuhakikisha dharau inaisha kabisa
Rudi kaifungue kama haisomi 5 nalalaKuna sehemu nimelike ya 6 ikasoma at
Kulike si wanasema zikifika 5 mwishoSijakuelewa hapa
Kiroho safi tu ukamwagiwa likes za kutoshaTeh teh..Kweli makapuku sio wachoyo
Hivi tatizo ni nini haswa.Hahahahahahaaa wewe ukishusha nondo mwisho likes tano!!!
Ulale salamaa PrezidentiiiNapumzika jamani
One love
Asubuhi nitakinukisha....
It's not too late changamkia fursa tuWhere was I???[emoji15] [emoji15]
Nawe piaa usiku mwemaaMakapuku wenzangu. Naomba nilale kesho church wengine.
Usiku mwema all Makapuku.
Pamoja tunaweza
Dah acha tu wakati kuna mkongwe akiweka nukta tu likes za kutoshaHahahahahahaaa wewe ukishusha nondo mwisho likes tano!!!
Isee itakua maigizo ya like basi mods bana mnazinguaRudi kaifungue kama haisomi 5 nalala