[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Tangazo tangazo
Wakongwe mnaopita humu msisahau kulike post za makapuku, just like for no reason, kwa sababu na wao wanalike post zenu zilizomo humu for no reason
Endelea na post zako za ulozi mshana haya mambo yapo sio ya kusadikika atiSijui niendelee tu au sijui niache?
Mkuu watu hawapendi kwasababu pamoja na kuwa tunachangia hapa pia tunasaidia KUKUZA LUGHA YETU YA KISWAHILI,na pia wasomaji wa JF si watanzania tu.Kuna jambo moja nataka niliweke sawa hapa!!
Binafsi nina nidhamu ya hali ya juu katika uandishi wangu, BINAFSI, nasisitiza tena BINAFSI.
Wengine wanaweza wakawa hawako sawa na mimi katika hili, hilo ni la kawaida. Hatuwezi kufanana katika kila jambo.
Hivi inamkera nini mtu pale memba flani anapoamua kuandika XAXA badala ya SASA?! Tuwe wakweli katika hili, nadhani tunaweza kutofautiana misimamo ila tunaweza kupata common platform katika hili. Kama mtu kaandika XAXA, na wewe ukajua kuwa alitaka kuandika SASA kwanini usiichukulie maana inayofit na uendelee tu?!
Kama nilivyotangulia kusema, hatuwezi kufanana kitabia, kariba na mwenendo hivyo basi lazima tuishi kwa kuchukuliana na kuchukulia baadhi ya mambo kwa upole. Najua kuna watu watapinga hili ila ndio hivyo.
Kama xaxa inaelewa inamaanisha sasa why bother?!
Tishio mjini hadi kijijini.Makapuku chama kubwa.
Usijali mkuu likes zinakujaJamani mi nina hasira na likes
Sie ni vinala zaidi ya mnala.Makapuku lazima tuuangushe mbuyu safari hii.
HahahaaaaWachuchu hasa wenye 'vitu adimu'View attachment 336180
Tuendelee tu kupambanaNaamini kwa kadri ya uwezo watayamaliza matatizo moja baada ya jingine.
[emoji450] [emoji445] [emoji441] tabasamu juu ni meza ya mabrotheeer, DONT BOTHERKuna jambo moja nataka niliweke sawa hapa!!
Binafsi nina nidhamu ya hali ya juu katika uandishi wangu, BINAFSI, nasisitiza tena BINAFSI.
Wengine wanaweza wakawa hawako sawa na mimi katika hili, hilo ni la kawaida. Hatuwezi kufanana katika kila jambo.
Hivi inamkera nini mtu pale memba flani anapoamua kuandika XAXA badala ya SASA?! Tuwe wakweli katika hili, nadhani tunaweza kutofautiana misimamo ila tunaweza kupata common platform katika hili. Kama mtu kaandika XAXA, na wewe ukajua kuwa alitaka kuandika SASA kwanini usiichukulie maana inayofit na uendelee tu?!
Kama nilivyotangulia kusema, hatuwezi kufanana kitabia, kariba na mwenendo hivyo basi lazima tuishi kwa kuchukuliana na kuchukulia baadhi ya mambo kwa upole. Najua kuna watu watapinga hili ila ndio hivyo.
Kama xaxa inaelewa inamaanisha sasa why bother?!
Hilo linaeleweka labda wajitie ukauzu.Tumekamilika kila idara, wasituchukukie poa
Hadi wakongwe wanatamani kurudi nyuma.[emoji3] [emoji3]Tishio mjini hadi kijijini.
Ili wote tuwe sawa, jf ni ya wamoja.kuitambua tu dharau ni mwanzo wa kujua nini tunachokimaanisha. Kutambua dhana ya wakongwe ni wale wanaoandika pumba lakini wanapewa shobo la kutosha.. Wewe sio mmoja wao na kama wewe sio mmoja wao karibu tupambane kurudisha Hadhi ya Jf kutoka kwa wanaojiita wakongwe
Asante kaka nimeziona, na wewe chukua like [emoji107][emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Tena kuna mabaunsa wa wenye nguvu.Hahahahaaaa.. Kumbe humu tuna ulinzi shirikishi
Thanks mshana jrHii sired ime hit mbaya big up makapuku wote wa JF umoja ni nguvu...! Mnavuma halafu mmo
Mkuu watu hawapendi kwasababu pamoja na kuwa tunachangia hapa pia tunasaidia KUKUZA LUGHA YETU YA KISWAHILI,na pia wasomaji wa JF si watanzania tu.
Samahani kama umekwazika mi maoni yangu tu.
Mkuu, salama lakini!?Nimeamka sasa makapuku wenzangu, tupo pamoja na chit chat iendelee
Ujanja kishambaa ni uhambanyiKahoswa ni rangi yakwe hata kakifishe zeze nngekaonekane du japo kana ujanja mwingi?