Makapuku Forum

Mkuu watu hawapendi kwasababu pamoja na kuwa tunachangia hapa pia tunasaidia KUKUZA LUGHA YETU YA KISWAHILI,na pia wasomaji wa JF si watanzania tu.

Samahani kama umekwazika mi maoni yangu tu.
 
Tukiwatenga ndugu zetu wa xaxa😀 badala ya sasa ebu mniambie tunafanya lipi tofauti na kutengwa na wakongwe ambako tulipitia😀😀

Soma na chukua content hayo mambo ya *xaxa* mwachie mwenyewe😱😱
 
[emoji450] [emoji445] [emoji441] tabasamu juu ni meza ya mabrotheeer, DONT BOTHER
toto mbili tatu kutia ladhaaaaaa
DONT BOTHER
 
Mkuu watu hawapendi kwasababu pamoja na kuwa tunachangia hapa pia tunasaidia KUKUZA LUGHA YETU YA KISWAHILI,na pia wasomaji wa JF si watanzania tu.

Samahani kama umekwazika mi maoni yangu tu.

Hamna brother, sijakwazika.....it takes an army to envoke my anger.
Sikuliwaza hilo la lugha, ila sasa kama wameamua kufanya hivyo tutafanyaje?!😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…