HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Sijambo jirani... Karibu jirani tujikusanyie maxMi mzima sijui wewe
habari NahreneMi mzima sijui wewe
Hahaa uko poa wazuri wa ulinzi ibra87?Dah waziri wa ulinzi wa serikali ya makapuku nimekuja kukusabahi mrembo
Huyo shemeji kakaDah waziri wa ulinzi wa serikali ya makapuku nimekuja kukusabahi mrembo
Yo welcome baeThanks sweetie
Subiria uyo wifi awe wife wako alafu uje na report hapaNdo maana nimempenda sana
I hope ulipitia na kule serikalini lakini mana najua huwezi kurudi nyuma na kusoma posts zote,nimerudi hapa ndugu jamaa na makapuku wote. ki ukweli nilikuwa kimya sana tokea muda wa mchana kutokana na kukatika kwa umeme na kuchelewa kurudi . lakini mawazo yote yalikuwa kwenu makapuku wenzangu.
nilikuwa nikiiwaza thread hii
huku nikihisi kuhujumiwa na MODS ambao wamejipa kazi ya kupunguza LIKE tunazopeana hapa. Lakini tusife moyo mapambano bado yanaendelea. lakini kama kweli Mods wanakifanya hiki tunacholalamikia kamwe malalamiko yetu hayatakwenda bure. Bado tunapambana na tutapambana mpaka kieleweke JUSTICE FOR MAKAPUKU
habari Nahrene
ninazo taarifa hizo tokea jana si unajua miye ni mzee wa intalejensiaHuyo shemeji kaka
Nafurahi kuskia hvyo shemnipo safi shemeji yangu mrs The Name
kwa kuwa ndio nimefika na kukimbilia kutoa like ngoja nizame nikapate kilichojili ingawa najua na nimeshamsoma SIZZYI hope ulipitia na kule serikalini lakini mana najua huwezi kurudi nyuma na kusoma posts zote,
Salama tu mpendwaSafi, mambo?
Kila nikirudia kuisoma hii thread napata raha sana aiseeeee hasa ili jina la "Makapuku" Mmetisha sana makapuku wenzangu@Habari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapana JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku prezidaa Bitoz shukuru kwako sana.
Members
EMMYGUY
ibra87
sizzya007
Nahrene
cute b
lizziebettie
UncleBen
peterchoka
nyumbatatu
dekitambi
HULILO
Kawalala93
damtanzania
Mama mkubwa
Thoomas
youngblood
tawa driller
SongeaOne
eden kimario
KABUGHA
Sambusa kavu
shaban lee
Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.
Karibu sana
Bitoz
JF Makapuku Founder
Jimena
JF Makapuku assistant Founder
Th Name JF Makapuku assistant Founder
Safi sana kiongozininazo taarifa hizo tokea jana si unajua miye ni mzee wa intalejensia
Thanks [emoji173]Yo welcome bae
Karibu sana kapukuKila nikirudia kuisoma hii thread napata raha sana aiseeeee hasa ili jina la "Makapuku" Mmetisha sana makapuku wenzangu@
Nitaleta report yote. Kwanza utambulisho kwa Makapuku wenzanguSubiria uyo wifi awe wife wako alafu uje na report hapa