Anayependa atumie....but naendelea na "makapuku founder"Kuna kitu kimoja nilisahau kukiweka wazi, makapuku wote tuna signature yetu ambayo tunatakiwa tuwe tunaitumia kwenye majukwaa mengine (kwa wale ambao wataona sawa na ambao wako proud na ukapuku wetu).
Ikitokea umechangia kwenye uzi mwingine, chini ya comment yako malizia na signature hii....
#proudkapuku
#kapukuforchange
Hii ni signature ambayo inahitaji mass approval kutoka kwenu ili tuipitishe rasmi
Nitaku PM baadae kidogo.Nimefika. Nilikuwa naangalia mechi ya man united. Nipe pole kwanza maana ni balaa
Na kamwe hutajuta maana MAKAPUKU TEAM inafunika pote, kila 'angle' ipo.Sijutii kuwa kapuku
Poa poaNitaku PM baadae kidogo.
Wifi muangalie sana huyu Jamaa,Dah waziri wa ulinzi wa serikali ya makapuku nimekuja kukusabahi mrembo
Anayependa atumie....but naendelea na "makapuku founder"
Yako zaidi ya tulivyopanga.Naona mambo yameanza kunoga
Me bado sijaiona signature kule settingMie nshaanza kuitumia
Kabisa mkuu, vinginevyo itahujumiwaTume tena iwe huru na ya hakiiu
Hata mi nahisi hivyoEt nayeee n wa dar[emoji13]
Ukirudi unakuta mambo yamepamba motoUzi huu una speed of lightπ±π±
Yaani ukitoka tu, kosa
Uko hot vibayaaaa..... Halafu sahivi umekuwa mzuri pia, chitchat imependezeshaSasa hivi zipo 1800+ replies......hauchuji
Mpaka server zifanye mgomoUko hot vibayaaaa..... Halafu sahivi umekuwa mzuri pia, chitchat imependezesha
Itabidi wawe wanaclear data[emoji2] [emoji2] [emoji2]Yaani kwa kasi hii hadi kufika december tutakuwa tumejaza database ya JFππ
Mikakati nayo imesimama vilivyoHakuna uzi unaokwea juu Chit chat....halafu tuwe tunaenda jukwaa LA utambulisho kukaribisha makapuku waje huku
Mpaka server ziombe poo
Sasa ngoja nichukue nafasi hii kukukaribisha...Hahaha nime toka kidogo kurudi najiona mgeniii..
Ulipotea sana kapuku weweNitaku PM baadae kidogo.
cc: damtanzaniaHv janaa damtz alihakikiii kwel upoteaj wa likes
Hahahahahaha hapo sasa ndo watakapoupiga [emoji357] [emoji357]Mpaka server zifanye mgomo