Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaaaaaaaaaNa wewe kumbe kapuku
Imerudishwa....Haya wale wanaochukulia movement hii kama kukosa kazi na kutafuta kick waje waexplain hii....
JF where we dare to talk open🙄🙄
Huo uopen uko wapi sasa?!
MODs mturudishie heading yetu bhana!!!😡😡 not fair
OyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeImerudishwa....
MAKAPUKU oyeeeeeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Views sasa hata 200 haifikiAngalizo;
Ishu zinazohusu MAKAPUKU ziwe zinatupiwa HAPA ...tusianzishe Uzi mwingine HAPA chit chat kuelezea ukapuku
Washapunguza views
Wkt ilishagonga 700+Views sasa hata 200 haifiki
Ila kitaeleweka tu, umoja ni nguvu[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]Wkt ilishagonga 700+
Chezea figisufigisu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Views sasa hata 200 haifiki
Ilikuwa zaidi ya 700 ila sasa idadi imepungua[emoji134] [emoji134] [emoji134]Sio tatizo! Huu uzi leo ndio headline ya JF......mpaka saa 12 jion views zitakuwa above 1k
hatuwezi kuabudu watu wenye chuki na makapuku, wanapost upuuzi wanapewa ufagio wa milele.. Hii ni namba mpya, mapambano mapya.. Kucheka na adui ni kukubali kuuza siri zako.. Kama wao wakongwe basi sisi ni wajuzi lakini wenye Ujuzi kuliko wao...
Mkuu sio kupeana Likes Bali ni kuingia kila chaka kurudisha heshima Iliyopotea kwa kuwapa sifa wasiyostahili. Hii ni Zaidi Ya wao na kiboko Ya wao... Tunahitaji kufanya mapinduzi katika vitengo vyote.
Hahahaha! sizzya007 unapenda kuunganisha dots. lol!.Nyumba tatu aka Mr. Ndizi karibu sana bob😳😳