SongeaOne
JF-Expert Member
- Jul 23, 2015
- 438
- 359
Asee tuinuane wenyewe tu mana tukisubiri likes za kina The Boss hatupati mileleNimekuuongezeaaa mkuu karibu uwanjaa wa Makapuku under prezidaa Bitoz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee tuinuane wenyewe tu mana tukisubiri likes za kina The Boss hatupati mileleNimekuuongezeaaa mkuu karibu uwanjaa wa Makapuku under prezidaa Bitoz
Likes zenyewe buree but watu wanabanaa utafikiriaa n pesaa ndo maana makapuku tumeamuaa kuzitoaa kwa yeyotee mwenyee kuletaa ushirikiano nasiAsee tuinuane wenyewe tu mana tukisubiri likes za kina The Boss hatupati milele
Asee hpa ni full malike najiona km The Boss wa kule kwa wenzetu maharufuMkuu leo ni siku ya mavuno!
Mkuu nendaa taratibu tu hii n familiaa kubwaa sanaaNimelike comments za makapuku wote kuanzia page 1 to 10, haikuwa kazi raisi ngoja nipate ghahawa kidogo.
Mkuu pokea likes kwa kazi nzuri!Nimelike comments za makapuku wote kuanzia page 1 to 10, haikuwa kazi raisi ngoja nipate ghahawa kidogo.
Pamoja sana.Mkuu nendaa taratibu tu hii n familiaa kubwaa sanaa
Hongera sanaNimelike comments za makapuku wote kuanzia page 1 to 10, haikuwa kazi raisi ngoja nipate ghahawa kidogo.
Pamoja.Mkuu pokea likes kwa kazi nzuri!
nadhani wataijua nguvu ya UMMAHivi mfano Mods wakafuta huu uzi itakuwaje!
Usijali mku,hapa kila mtu ni maarufu!Yan najiona km wale jamaa zangu maarufu wa kuleeeeeeee
Kasi ya makapuku inatisha.Hongera sana
Mkuu, hongereni, kiroho safi lakini!Mkuu leo ni siku ya mavuno!
Aisee nadhani watu watajilipua humu tufe wote.nadhani wataijua nguvu ya UMMA
Hebu tususe....kwani jf haikuwepo kabla yetu?Sisi ndio wengi zaidi yao km huamini tususe kucomment thread yoyote zaidi ya hii uone .....