sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Mambo mengi, sema Siku hizi umeacha kupost uchawi chawi...sijui umeokoka?Mbona hatuonani?
Wakat uliahidi bàda ya easter...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mengi, sema Siku hizi umeacha kupost uchawi chawi...sijui umeokoka?Mbona hatuonani?
Makapuku wote
Malalamiko yetu kule MEMBERS ONLY kuhusu 5 LIKES yamejibiwa baada ya sisi kuungana na kukomaa na kufanya kamgomo baada ya kuona hatujibiwi siku mbili
Tusubiri utekelezaji sasa
Huu ni ushindi
Umoja ni nguvu
Nenda MEMBERS ONLY....kasome jibu laoBado tatizo lipo likes bado zinasomeka 5 tu kwenye coments zetu mods hili mlifanyie kazi bana
Tuko poa kabisa,karibu tenaNahisi kuna walio lala humu na kuamkia humu humu.. Kweli makapuku tuna usongo....Amjambo lkn?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]View attachment 336177[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mkuu hapa ndipo unaponiacha hoi,hivi haya mambo umeyatoa wapi? mmi pia nataka[emoji125] [emoji125] [emoji125]View attachment 336179[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Nimewekwa benchi[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mkuu mbona kuna wakongwe wengine wanaheshima na nidhamu...mmeamka salama makapuku wenzangu? Kinachotakiwa wanapokuja hao wanaojiita wakongwe tuwafumbie macho na kuwapita tu
Ila wakongwe wengine ni wazuri siyo wote ni wabayammeamka salama makapuku wenzangu? Kinachotakiwa wanapokuja hao wanaojiita wakongwe tuwafumbie macho na kuwapita tu
Zinanikosesha mengi zile post nimeona nizipotezeeMambo mengi, sema Siku hizi umeacha kupost uchawi chawi...sijui umeokoka?
Wakat uliahidi bàda ya easter...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]mkuu itabidi usimamie kamati ya ufundi ya makapuku maana uko vizuri haswa
Ha haaa haya.... Ndio uokokee sasa!Zinanikosesha mengi zile post nimeona nizipotezee
Hii kazi mshana jr ataiweza vizuri.mkuu itabidi usimamie kamati ya ufundi ya makapuku maana uko vizuri haswa
Ha haa kumbe anayetulinda ni mganga mshana......mkuu itabidi usimamie kamati ya ufundi ya makapuku maana uko vizuri haswa
Endelea mkuu usiacheSijui niendelee tu au sijui niache?