Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Unakaribishwa mkuu.Kwahio na mm nikapuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakaribishwa mkuu.Kwahio na mm nikapuku
aaah wapo wengi wenye heshima na wanaoniheshimu... Lakini nataka kujua hivi wewe utajiita mkongwe kweli?Mkuu mbona kuna wakongwe wengine wanaheshima na nidhamu...
Swalama?
hawezi kutuangusha, tupo pamoja katika safari ya kuondoa daraja la utenganishi na matabaka hapa Jf.Ahaaaa haaa naaamini hatowaangusha!
Mhasibu Wa makapuku...
Sijajua paka sasa dhana ya ukongwe inamaanisha Nini? Labda unipe darasa...aaah wapo wengi wenye heshima na wanaoniheshimu... Lakini nataka kujua hivi wewe utajiita mkongwe kweli?
Nimeongezea maneno post #3 kachekiTukumbuke lengo la movement hii sio kuigawa Jf ila kuleta usawa na kuondoa matabaka yaliyowekwa na wale wanaojiita wakongwe na kuwaita wenzao mulugo's effect na majina mengineyo hivyo usisahau kulikumbusha hili mkuu
Asante sana mshana jrHii sired ime hit mbaya big up makapuku wote wa JF umoja ni nguvu...! Mnavuma halafu mmo
Aisee we mtu unalala sanaKapuku nimeamka salama
Ha Haaaa......Hii sired ime hit mbaya big up makapuku wote wa JF umoja ni nguvu...! Mnavuma halafu mmo
Nisamehe mkuu,usingizi hauna mbabeAisee we mtu unalala sana
Karibu tena mkuuNisamehe mkuu,usingizi hauna mbabe
Pitisha pitisha ndumba ili mambo yakae sawa, tunaanzaje sasa kukuweka benchi?Nimewekwa benchi[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hahahahaaaa.. Kumbe humu tuna ulinzi shirikishiHapana, changamoto zilikuwa za kawaida, otherwise ningekujulisha. Asante sana [emoji120]