Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 12,325
- 38,203
Mbona trophy points hawapandishi???Safe trip then..... Ukija utakuta mafanikio yamezidi marudufu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona trophy points hawapandishi???Safe trip then..... Ukija utakuta mafanikio yamezidi marudufu
Usifanye ivyo kwangu tafadhali...Kuazia sasa naanza kugonga kitufe cha like mara mbili
FitinaMbona trophy points hawapandishi???
Ukibadili nami nachukua lako la kiba[emoji6]Unawasiliana na mod yoyote aliyeko hewani then anakubadilishia
Nilidhani uta divert uelekeo maeneo ya Msoga..Utetezi utakuja baada ya utafiti kuwa mpole naenda msata sasa hivi
Tunafanya kwa usawa ,kila mtu atapataUsifanye ivyo kwangu tafadhali...
Nimeandaa mihogo ya nazi na ming'oko ila utashushua maji baridiii.Njaa jamani... Nani kaivisha huko .....
Trophy pints zinachukua muda sana kupandaMbona trophy points hawapandishi???
HahhahahaaaaNilidhani uta divert uelekeo maeneo ya Msoga..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mta mjechaSana tuuuu, mtu akizingua hatuchelewi kum[emoji418] [emoji418] [emoji418] [emoji418]
Ila mkuu usilete UJECHA tu!Makapuku itaingia kila chaka na italeta kile ambacho kinatokea kwenye jamii, tutakuwa tofauti na wao wanaoomba ushauri kwa vitu ambavyo havina maana.. Wale wanaoamini ubora wao wakati bado hawapo kwenye viwango.. Kila Jukwaa litatikisika na kukubali kuwa sisi ni makapuku ambao tunawasha kama U.P.U.P.U
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hahhahahaaaa
Hujachelewa ndiyo kwanza 5k
Hahhahahaaaa hapa likes tuu kula kwenu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Njaa jamani... Nani kaivisha huko .....
Mkuu nini tenaHahhahahaaaa hapa likes tuu kula kwenu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]![]()
Ngumu kumesaMkuu nini tena
Hiyo mesa mwenyeweNgumu kumesa
[emoji15] [emoji15] [emoji30] [emoji30] [emoji15] [emoji15] [emoji30] [emoji30]Hiyo mesa mwenyewe