Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bhana...ila najifariji kwa chama langu Yanga
Kuwa shabiki wa arsenal inabidi kujitoa fahamu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aiseeee!!
ila tatizo lenu nyie mashabiki wa Barcelona hamjazoea kupata maumivu mara kwa mara..
hivyo ikitokea mistake moja kama hii mnaumia sanaaa..
kawaulize washabiki wa Arsenal maumivu yako vipi? watakujibu cos wao wameshazoea imekuwa kama ni desturi kwao vileee
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mkuu ongeza power bank...hili la huyo refa mwenyewe limenikosesha usingizi kabisaaaaMimi nipo mkuu japo chaji inanitupa mkono na kila nikifumba macho namuona refa akikataa penat
Diego na vijana wake walitukamia sana...wala siichukii, ila nacheka sana kuona leo mmetolewa huku hamna sababu yoyote ya kujitetea..
Neyma na Suares wamekabwa sànà leo mpka wanacheza rafu za wazi kabisa na kupigwa yellow card
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12]
Nilikuwepo tangu huu uzi unaanza. Nimerudi tenaHabari ya siku mrembo tatty umekua adimu hapa
Kweli kabisa angalau huku utasuuzika na likeBarcelona wameniangusha bora niwe nashinda Makapuku forum
We mtoto wa kike lala basi usiku saa hiziUzuri ni kwamba pamoja na kubebwa koote huko, wamepigwa!!!
Nilikuona mrembo unauliza kama na we ni kapuku au sio halafu ukapotea ila nimegundua we ni kapuku mwenzangu piaNilikuwepo tangu huu uzi unaanza. Nimerudi tena
Mi nilijua watapoteza tu tangu wafungwe na real sociedad chezea madrid weKweli kabisa angalau huku utasuuzika na like
Kweli aisee ngebe zote zimeisha chezea antoine griezman
Salama mkuuHabari ya asubuhi bitozi mzee umeamkaje mkuu
kama unataka kuthibitisha kuwa Mapenzi yanauwa, sasa endelea kuingia anga zangu[emoji379] [emoji379]
Notednikimuoa Nahrene nataka Mshana jr awe mshenga wangu