Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mamaUsisahau kuniletea zawadi
Hahaaha ... Stevie wonder katisha
kwani haiwezi kuwa?[emoji27] [emoji27] [emoji27] Beiby??
Hapana [emoji125] [emoji125]kwani haiwezi kuwa?
u're my only one in my heart and my souli love u too🙂🙂
kwanini?Hapana [emoji125] [emoji125]
Kwanza kuna times we ni mkali balaa [emoji19]kwanini?
nachekesha tena? nani amekwambia nina mke?u r vere funny...Nani anataka ukewenza😡😡😡😡😡
hapana huwa sipo serious bhana, usiponizoea unaweza kujua mimi mtataKwanza kuna times we ni mkali balaa [emoji19]
kwani kuna sehemu nimesema tayari mama?i love u too ndo nimekubali???
Mwambie bado sana😎😎😎
[emoji2] [emoji2] Akuu...... Kina Jimena ndo wameshakuzoeahapana huwa sipo serious bhana, usiponizoea unaweza kujua mimi mtata
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] nimefika sasa
Mbona ndio naamka sasaWe mtoto wa kike lala basi usiku saa hizi
Hapana chezea Madrid,Mi nilijua watapoteza tu tangu wafungwe na real sociedad chezea madrid we
Du....saa 5Mbona ndio naamka sasa
niombe radhi mkuu, hakuna timu nisioipenda duniani kama MAN U na Wafuga kambale Wa Kariakoo a.k.a vyura.. YANGA MBELEKO FCHehehe Mkuu pole kwa kujifariji