Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawa katisha sanaMkazi wa Dar es salaam aliyejitambulisha kwa jina la Mussa Mawa amekamatwa katika maeneo ya Hospitali ya Taifa Muhimbili akituhumiwa kutapeli Wananchi wanaopata huduma akijifanya Daktari.
Mkuu wa Idara ya Ulinzi Alfred Mwaluko amesema kuwa wana usalama walimbaini Mtu huyo akiwa kwenye harakati za kuwatapeli Watu wanaouguza ndugu yao aliyelazwa jengo la Mwaisela.
Tukio hili limemfanya Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano Muhimbili Aminiel Aligaesha kutoa rai kwa Watu wote wanaojihusisha na kutapeli Wananchi katika eneo la Hospitali kwamba kwa sasa ulinzi umeimarishwa na wakijaribu kufanya hivyo watakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya usalama. View attachment 2734208
Haya magazeti hayasomeki
Pole yake.Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa imemuhukumu Cyprian Kasuva kifungo cha miaka 80 jela kwa kosa la kukutwa na makosa matatu, kosa la kwanza kukutwa na nyara za Serikali (kichwa cha Tembo na meno yake), kosa la pili kukutwa na silaha (Magobole matatu) na kosa la tatu kukutwa na risasi 35.
Cyprian(44) Mkazi wa Kalenga Iringa Vijijini inadaiwa alitenda kosa hilo May 09, 2022 katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Ruaha ambapo akiwa anabanika nyama ya Tembo, Askari wa Wanyama Pori wakafanikiwa kumkamata.
Kosa la kukutwa na kichwa cha Tembo na meno yake hukumu yake ni kifungo cha miaka 30 au faini ya shilingi milioni 348, kosa la kukutwa silaha (Magobole matatu) hukumu yake ni kifungo miaka 25 na kukutwa na risasi 35 hukumu yake ni kifungo miaka 25 na hivyo kufanya jumla ya makosa yote kupewa hukumu ya kifungo cha miaka 80 ( anaitumikia kwa pamoja )
Kesi hiyo imesomwa na Hakim Mkazi Mkuu Said Ally Mkasiwa na ilikuwa na Mashahidi 6 huku ikisimamiwa na Mwendedha mashtaka wa Serikali Barton Mayage, Mahakama ilipompa nafasi ya kujitetea Cyprian aliiomba kupunguziwa adhabu kwasababu ni kosa lake la Kwanza na ana Watoto watatu wanamtegemea lakini hata hivyo akahukumiwa miaka 80. View attachment 2734206
Kwa vyovyote alikuwa anashirikiana na baadhi ya watumishi wa Muhimbili.Mkazi wa Dar es salaam aliyejitambulisha kwa jina la Mussa Mawa amekamatwa katika maeneo ya Hospitali ya Taifa Muhimbili akituhumiwa kutapeli Wananchi wanaopata huduma akijifanya Daktari.
Mkuu wa Idara ya Ulinzi Alfred Mwaluko amesema kuwa wana usalama walimbaini Mtu huyo akiwa kwenye harakati za kuwatapeli Watu wanaouguza ndugu yao aliyelazwa jengo la Mwaisela.
Tukio hili limemfanya Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano Muhimbili Aminiel Aligaesha kutoa rai kwa Watu wote wanaojihusisha na kutapeli Wananchi katika eneo la Hospitali kwamba kwa sasa ulinzi umeimarishwa na wakijaribu kufanya hivyo watakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya usalama. View attachment 2734208
Post yako ya 2019.Samahani dada napingana na ww, kukupa pesa haimaanishi anakununua hiyo pia ni moja ya kukujali yaan mpenzi wako akupe pesa eti anakununua hapana kwakweliView attachment 1061741
HahhahahTupo ila kuwa makini na Carasco Putin ndio anayekuwangia usiku