makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
You are my 1st, my last n everything in between
Sitaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki.
Matatizo gani tena auntie
@Lee amenibana mpaka kuingia makapuku nakosa mda mnisamehe tuShunie kipenzi tumekukosea Nini? Yaenda sasa wiki hutupi updates za magazetini umetuacha solemba. Mi naumwa Hali yangu haiko sawa kabisa kwasababu sioni comment zako. You're such a wonderful person, an amazing woman, the perfect lady with attractive perfections. Huna chuki na mtu, huna choyo na mpole. Moyo wako ni wakipekee sana Tena sana. Kiufupi umenikaa sana kichwani na ndoto zangu nikuwa na wewe. Rudi basi nikuone Shunie huba lako linanitesa sana.
Wacha bwana🤣🤣🤣You are my 1st, my last n everything in between
Ya kupotelewa na babe.Matatizo gani tena auntie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣@Lee amenibana mpaka kuingia makapuku nakosa mda mnisamehe tu
😍😍😍@Lee amenibana mpaka kuingia makapuku nakosa mda mnisamehe tu
Umekunywa chai?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila dhambi auntie, mwenzio kaandika gazeti wewe ukapigilia msumari kwenye kidonda!!
Pole sana...ila ndio vzr@Lee amenibana mpaka kuingia makapuku nakosa mda mnisamehe tu
Hapana mkwe, hebu fanya namna.Umekunywa chai?
PoleniHapana mkwe, hebu fanya namna.
Na wewe tukutafutie shangazi akubane uwe busy.Pole sana...ila ndio vzr
Mteke tu huyoNa wewe tukutafutie shangazi akubane uwe busy.
....kwa hiyo kule nnakoitwa mstaafu, niko mwenyewe?Na wewe tukutafutie shangazi akubane uwe busy.
Hahahahahaha...mie hapana aiseeNa wewe tukutafutie shangazi akubane uwe busy.
Hahahahahaha...unamtafutia matatizoMteke tu huyo
Akina nani?Poleni
Wacha we!Mteke tu huyo