Makarani wa vyama vyote na wahudumu wa IEBC waanza kupitia fomu zote

Makarani wa vyama vyote na wahudumu wa IEBC waanza kupitia fomu zote

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Peace be with you neighbor!
Please accept the outcome of your people's voice and let your livelihood continue!
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.

what democracy are you talking??wanne wameshalala mbele unazungumzia demokrasia gani??hadi watu waprotest ndo tume ina come out??

na je,ikitokea kenyatta kapigwa chini will he be ready to accept the results wakati alishaonekana anashinda??vipi kuhusu watu wake??hiyo tume imeshavuruga watu,acheni kujikweza kuna demokrasia hapo
 
Kwa tofauti ya kura ya zaidi ya Milion moja, sioni namna yoyote kama huo ujumlishaji unaweza kugeuza matokeo. Huo mfumo wa kumjulisha manually unaweza kuwa na maana sana kama tofauti ya kura baina ya wagombea ingekuwa ndogo.

Lets we wait and see.
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.

Lakini nimeona Azam TV kuwa kumekuwa na rasharasha za vurugu na wakenya wawili tayari walikuwa wameuwawa.
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
nasikia jecha na lubuva wapo Nai,muwe makini
BTW japo sio kwa 100% ila uchaguzi umeonekana standard kwa levo ya kiafrika mashariki
 
Kenya ilipigania kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Watanzania wanaiomba CCM iwape tume guru. Very interesting.
Bwana yule aliema tusitegemee katiba mpya maana sio kipaumbele chake so we have 10 years ahead😀😀😀
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Matokeo siyameshatoka? au mnafanya auditing?
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Killing of the ICT expert, distorted a bit your democracy. Adding to that problem, tribalism and ethnic sentiments have continued to plague you democracy credibility. To this end, more effort is needed for curbing those problems, particularly tribalism and ethnic sentiments, where your democratic elections are rooted. Generally speaking, you are doing quite nice, just continue on solving the above problems.

All the best,
K
 
what democracy are you talking??wanne wameshalala mbele unazungumzia demokrasia gani??hadi watu waprotest ndo tume ina come out??
na je,ikitokea kenyatta kapigwa chini will he be ready to accept the results wakati alishaonekana anashinda??vipi kuhusu watu wake??hiyo tume imeshavuruga watu,acheni kujikweza kuna demokrasia hapo

Sheria inasema hizo forms ndio zikitangazwa itakua matokeo rasmi, walio-protest ilikua ni dhidi ya mfumo wa kupeperusha matokeo kwamba walituhumu kuwa umedukuliwa, sasa tume imeendelea kwenye hatua za mwisho kiutaratibu na kwa mujibu wa sheria ambayo inahusu kupitia fomu zote na makarani wa vyama vyote ili kukamilisha zoezi, ulitaka wafanye nini labda kwa ushauri wako.
 
Back
Top Bottom