YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Kinachotakiwa mtu ashinde au ashindwe kihalali. Hilo zoezi ndilo la uhakika la kuonyesha nani mshindi halali awe raila au Kenyatta.Hapo napo akishindwa sijui atasingizia nini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachotakiwa mtu ashinde au ashindwe kihalali. Hilo zoezi ndilo la uhakika la kuonyesha nani mshindi halali awe raila au Kenyatta.Hapo napo akishindwa sijui atasingizia nini!
Kwa afrika hii manual ndio yafaa na Ya uhakikaKwa tofauti ya kura ya zaidi ya Milion moja, sioni namna yoyote kama huo ujumlishaji unaweza kugeuza matokeo. Huo mfumo wa kumjulisha manually unaweza kuwa na maana sana kama tofauti ya kura baina ya wagombea ingekuwa ndogo.
Lets we wait and see.
nakuunga mkono mia kwa miaKwa hapo kweli mnastahili pongezi... Atakayeshindwa hapo tena asitupigie kelele...
Hapo napo akishindwa sijui atasingizia nini!
Nikisoma najua tu nationality na kabila yako kabisa.what democracy are you talking??wanne wameshalala mbele unazungumzia demokrasia gani??hadi watu waprotest ndo tume ina come out??
na je,ikitokea kenyatta kapigwa chini will he be ready to accept the results wakati alishaonekana anashinda??vipi kuhusu watu wake??hiyo tume imeshavuruga watu,acheni kujikweza kuna demokrasia hapo
Yawezekana ukawa sawa but hata kama hakuna Democracy, angali KENYA wanatuzidi demokrasia sisi wazee wa porojo
Wanatuzidi kwa takwimu zipi? Au kwa maneno ya humu JF! tusaidie huo utafiti tuone tafadhali!Yawezekana ukawa sawa but hata kama hakuna Democracy, angali KENYA wanatuzidi demokrasia sisi wazee wa porojo
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Ni sababu zipi ziliwafanya wasipitie wakati wa kuhesabu kura na kutoa matokeo hadi waje kuzipitia na kuzichunguza sasa hivi?Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Ni sheria ndio inawataka kufanya hivyo.Ni sababu zipi ziliwafanya wasipitie wakati wa kuhesabu kura na kutoa matokeo hadi waje kuzipitia na kuzichunguza sasa hivi?
Sijawahi ona tume mbovu kama hii ya Kenya.Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
kabila langu linahusiana vipi na mchango wangu kimawazo??mimi ni mtanzania kabila langu ni mtanzania dini yangu ni tanzaniaNikisoma najua tu nationality na kabila yako kabisa.
Sent From fx.991
hakuna sheria inayosema tangaza kwanza matokeo ya system then ndo tuje kuverify kwa forms kama ni matokeo ya kweli au sio..hakuna hiko kitu,tume yako walikua wanatangaza matokeo ya system without evidence ya wanachotangaza,kama wewe ni mkenya basi unajifanya kipofu na kiziwi kwenye reality thingsSheria inasema hizo forms ndio zikitangazwa itakua matokeo rasmi, walio-protest ilikua ni dhidi ya mfumo wa kupeperusha matokeo kwamba walituhumu kuwa umedukuliwa, sasa tume imeendelea kwenye hatua za mwisho kiutaratibu na kwa mujibu wa sheria ambayo inahusu kupitia fomu zote na makarani wa vyama vyote ili kukamilisha zoezi, ulitaka wafanye nini labda kwa ushauri wako.
Tatizo mnashinda JF tu hamsikilizi source zingine. Imeelezwa kinaga ubaga kwamba mahakama ilitoa ruling kwamba matokeo yatumwe haraka kabla ya hizo karatasi kuepusha uchakachuzi. NASA wenyewe ugomvi hauko hapo ugomvi wao ni kwamba mfumo wa urushaji matokeo moja kwa moja umechezewa. Hapo nao wamekurupuka walitakiwa wasubiri uhakikisho kupitia form no 34 A kuliko kuamsha vurugu za wafuasi waoSijawahi ona tume mbovu kama hii ya Kenya.
Na kwa kukurupuka huku ingeweza sababisha madhara makubwa Zaidi kwa Wakenya.
Eti inatangaza matokeo then baada ya kusikia harufu za damu inadai matokeo sio halali.
Na wewe unakuwaga na ufinyu sana wa kutambua mambo.
Demokrasia ipi unazungumza wakati watu wamerudi vijijini na tayari watu wameshatangulizwa kwa Maulana??
View attachment 562193
At least they have tried to cool pple dwn.what democracy are you talking??wanne wameshalala mbele unazungumzia demokrasia gani??hadi watu waprotest ndo tume ina come out??
na je,ikitokea kenyatta kapigwa chini will he be ready to accept the results wakati alishaonekana anashinda??vipi kuhusu watu wake??hiyo tume imeshavuruga watu,acheni kujikweza kuna demokrasia hapo