Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Siutilii shaka kamwe uzalendo wa Wafula na IECB, kwa kweli ktk hiki IECB ni mfano wa kuigwa. Wengine huku kwenye Tume zetu wanalazimisha tu mambo, hakuna uwazi wa aina ya IECB ambao wanaonyesha sio tu kutenda haki bali kuionyesha dunia kuwa uchaguzi umeefanyika kwa uhuru na mshindi atapatikana kwa haki.Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Vv