Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha ajabu wanasema wameona matokeo kwenye mtandao wa tume,kama hawajadukua wamepata wapi hayo matokeo.Duh maombi tu maana hawa jamaa ni kama wamejiandaa pachimbike, leo hii kuna maeneo ambayo ya mbali na pamoja na raslimali walizo nazo IEBC, makaratasi hayajafika yote, sasa hao NASA wameyakusanya kivipi aisei.
Hiyo ndiyo tofauti kubwa sanawanaosupport kuwa Kenya kuna Demokrasia zaidi ya Tanzania wanashangaza sana,Wakenya kila kitu cha msingi wanapata through Protesting watu lazima waumie kila siku,hii tume ya sasa imeweka through Protesting na bado ni mbovu kuliko halafu bado tunaiita hiyo ina Demokrasi??
Lakini sisi hatuchinjani wala kupigana na mitutu sisi maji ya kuwasha na Bomu za machozi tu siku moja yamekwishaNakumbuka Lowassa alivyopambana kulalamika kwamba kura zake zimeibiwa, akabeba ushahidi na kupeleka kwenye majengo ya tume, lakini alipuuziwa mbali na mshndi akatangazwa. Hilo tumewashinda kwa mbali maana kwetu sisi inabidi vyama vyote vihusishwe, hesabu zipigwe taratibu kiasi kwamba hakuna atakayebaki akilalamika.
Huyo wa kumiliki nusu ya ardhi ya Kenya bora sizonje wetu kuliko huyo mdomo mweusiGeuka nyuma utizame kaliolako. hivi unadhani demokrasia ya MH. UHURU inafanana na mikurupuko ya SIZONJE wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo mwenyewe mkuu..Niliona mtu Tviini kama John Kelly yule wa Obama au macho yangu tu
Unaweza kuwa sio mlengwa wa wimbo huo.Roma ni bora angeacha mziki. Nimesikiliza huo wimbo haujanivutia kabisa. Binafsi nilikuwa shabiki wa Roma ila kama kwa sasa staili ndio hii, mimi sio shabiki wake atafute wengine
Unadhani mtamaliza ? Bila ugomvi hapo. Ninashaka sanaNdio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Mama yangu Jecha tena !!!!!!!!!!!nasikia jecha na lubuva wapo Nai,muwe makini
BTW japo sio kwa 100% ila uchaguzi umeonekana standard kwa levo ya kiafrika mashariki
Hata marekani Warusi walifanya udukuzi kulingana na maneno ya Hilary na Obama.Trump akashinda maisha yanaendelea!
Akabeba ushahidi gani wewe MTU mzima mbona mwongo sana, unafaidika nini kudanganya. Sema huo ushahidi walioubeba, wakati replica ya docs za 34b ndio zilitumika kuwaprove kwamba wameshindwa. MNakumbuka Lowassa alivyopambana kulalamika kwamba kura zake zimeibiwa, akabeba ushahidi na kupeleka kwenye majengo ya tume, lakini alipuuziwa mbali na mshndi akatangazwa. Hilo tumewashinda kwa mbali maana kwetu sisi inabidi vyama vyote vihusishwe, hesabu zipigwe taratibu kiasi kwamba hakuna atakayebaki akilalamika.
Hivi wewe mbona unaonyesha jinsi ulivyomweupe kichwani? Mtandao wa tume ya uchaguzi ya kenya ni Website ambayo wanaweka matokeo ya uchaguzi ili kila mtu aone. Sasa wewe ulitaka NASA wasiangalie kwenye hiyo Website? NASA Kujua kwamba servers za tume ya uchaguzi zimeingiliwa ni kutokana kutokana na baadhi ya matokeo yaliyokuwa yanawekwa kwenye hiyo Website kuwa tofauti na ilivyo kwenye Form za matokeo. Hivyo hicho pekee ni kuashiria kikubwa sana kwamba kuna either tatizo kwenye mfumo/servers au mkakati wa kupendelea upande mmoja!Cha ajabu wanasema wameona matokeo kwenye mtandao wa tume,kama hawajadukua wamepata wapi hayo matokeo.
Kila la heri mmalize salama,naanza kuogopa,lakini nimepata funzo kua katiba wala tume sio suluhisho
Mama yangu Jecha tena !!!!!!!!!!!
Duuu bado professor sasa !!!!!View attachment 562931
Kazi ipo nginjanginja hadi ikullu!Duh maombi tu maana hawa jamaa ni kama wamejiandaa pachimbike, leo hii kuna maeneo ambayo ya mbali na pamoja na raslimali walizo nazo IEBC, makaratasi hayajafika yote, sasa hao NASA wameyakusanya kivipi aisei.
Waluo a.k.a wasukuma mna matatizo sana.Kisa cha kutangaza matokea kabla ya tume ?Observers:EU,AU,CW,Hata John Kerry,alisema uchaguzi ulikuwa huru na uwazi.Hao wote wana imani na tume.Raila akubali matokeo akishindwa.Kuleta ubishi dunia nzima inamshangaa!Waligundua baadae sana, uhuru kashikwa peupe, tulia watu wanahesabu kwa fomu shida yako kama ni maisha yapo tu hata baada ya kufa!!!! Tatizo linakuja aina ya maisha!!!!
Mudavada alinukuliwa akisema kuna mtu ameingia kwa kutumia akaunti Msando,upo hapo hapo?walijuaje kama akaunti ya msando imekua logged in?NASA Kujua kwamba servers za tume ya uchaguzi zimeingiliwa ni kutokana kutokana na baadhi ya matokeo yaliyokuwa yanawekwa kwenye hiyo Website kuwa tofauti na ilivyo kwenye Form za matokeo. Hivyo hicho pekee ni kuashiria kikubwa sana kwamba kuna either tatizo kwenye mfumo/servers au mkakati wa kupendelea upande mmoja!