Makarani wa vyama vyote na wahudumu wa IEBC waanza kupitia fomu zote

Makarani wa vyama vyote na wahudumu wa IEBC waanza kupitia fomu zote

Nakumbuka Lowassa alivyopambana kulalamika kwamba kura zake zimeibiwa, akabeba ushahidi na kupeleka kwenye majengo ya tume, lakini alipuuziwa mbali na mshndi akatangazwa. Hilo tumewashinda kwa mbali maana kwetu sisi inabidi vyama vyote vihusishwe, hesabu zipigwe taratibu kiasi kwamba hakuna atakayebaki akilalamika.
Acha ujinga Lowasa alibeba ushahidi gani? Mpaka leo hakuna hata jimbo moja ambalo ameweza kuonyesha ameibiwa. Nyie mnauana kama mbwa vile, ndani ya hizi week mbili tu ni zaidi ya watu kumi tayari wamekufa kwa sababu ya uchaguzi, hii kwenu ndio demokrasia sababu mlishazoea kuuana kwa maelfu.
 
Hilo nakubaliana na wewe, kuna baadhi ya vipengele mnatuzidi, lakini overall tunawazidi! Mambo kama tume ya uchaguzi kuwa final yanatakiwa kubadilishwa mara moja, na mengine mengi!
Uzuri nyie wakati mnaandaa katiba yenu mlijitahidi kufika mwisho kwa jinsi ambavyo wananchi wengi walipendekeza. Hapa kwetu hilo bado ni tatizo sugu lakini demokrasia haipimwi kwa katiba pekee.

Data zipo ambazo zimefanyiwa utafiti. Unaweza kupitia hapa! EIU Democracy Index 2016

Naomba utaje nini hicho mumetuzidi overall, kumbuka nyie hata pale Zanzibar ilibidi mtishiwe kunyimwa misaada. Kwetu kila kitu kinafanywa above board and as per the rule of law. Kwa kifupi demikrasia ni mnyama asiyeeleweka, unaweza ukatutuhumu kwamba tunapiga kura kwa misingi ya ukabila, pamoja na kwamba hata mimi hilo hunikera lakii ndio demokrasia yenyewe hiyo, kwamba kila mtu ana uhuru wa kutumia kigezo anachotaka wakati anamchagua kiongozi.

Kama jinsi kwenu mnatumia uchama na ukanda, kwa mfano nikiwa hapo Bongo mwaka wa 2015, niliona jamaa mitaani wanashabikia CCM kwa povu halafu baadaye wanaomba wanunuliwe chai na hao wa UKAWA, eti kwamba wamefulia.

Sisi hapa tumehakikisha kila kitu kinafuata utaratibu wa sheria, kura zimepeperushwa kama sheria inavyosema na kama NASA walivyoaomba mahakama iamuru. Baada ya hapo wameitwa mawakala wa vyama vyote, wana habari na washikadau wote wamekusanyika kuhesabu na kuhakiki kila fomu neno kwa neno, herufi kwa herufi, yaani zaidi ya hapo hamna kingine ila kutangaza mshindi.

Wachunguzi wote wa kutokea mataifa mbali mbali zikiwemo nchi za Kiafrika na Ulaya wote wamekubali kila kitu kimefanywa ipasavyo.
 
Hawa jamaa wapuuzi sana. Sijui kwa nini bado wanajidanganya na hiyo "demokrasia" yao.
Acheni unafiki! Waangalizi wote wa kimataifa wamepongeza uchaguzi huu jinsi ulivyoendeshwa!
Pili, kitendo cha tume ya uchaguzi kutoa fomu za unakili wa matokeo ya kura za urais ni jambo jema sana! Huku kwetu mpaka leo tume yetu haijawahi kutoa fomu hizo kwa chaguzi zote!
Ukweli ni kwamba Uhuru kashinda kwa haki na Raila kashindwa kwa haki!
Tanzania tuna la kujifunza kutoka kwa Wakenya! Wivu na chuki zetu kwao hazisaidii!
Lkn sishangai wezi kuwachukia wapinga wizi!
 
Kwa afrika hii manual ndio yafaa na Ya uhakika
Najua unasupport hilo kwa kuwa lipo kwa Jirani! Lkn ukweli huwezi kuwashauri mabwana zako walifanyie kazi huku kwetu! Sababu wazijua!
Hapo ndipo ulipo ukweli wa binadamu wengi!
 
Hili suala la kusema Maamuzi ya Tume ni final ndio upuuzi tunaotakiwa kuuondoa asap hapa kwetu, japo sioni kama JPM anafikiria hilo maana ni vipengele vinaifanya chama chake CCM kuendelea kubaki madarakani..
Kwa ufupi nimefurahishwa na tume ya Kenya kuwa flexible. Japo mzee siasa zenu kwakweli hazifai kabisa.. You take politics very serious, labda huenda hili linachangiwa na rate kubwa ya unemployment hapo kwenu, Vijana wengi hawana kazi ya kufanya ndio maana ni rahisi kusombana na kuingia mitaani ku protest ikiwa wangeweza kuvumilia walau haya mauaji yasingetokea.
Kwani unemployment rate ya vijana Tanzania iko vizuri!!?
 
Naomba utaje nini hicho mumetuzidi overall, kumbuka nyie hata pale Zanzibar ilibidi mtishiwe kunyimwa misaada. Kwetu kila kitu kinafanywa above board and as per the rule of law. Kwa kifupi demikrasia ni mnyama asiyeeleweka, unaweza ukatutuhumu kwamba tunapiga kura kwa misingi ya ukabila, pamoja na kwamba hata mimi hilo hunikera lakii ndio demokrasia yenyewe hiyo, kwamba kila mtu ana uhuru wa kutumia kigezo anachotaka wakati anamchagua kiongozi.

Kama jinsi kwenu mnatumia uchama na ukanda, kwa mfano nikiwa hapo Bongo mwaka wa 2015, niliona jamaa mitaani wanashabikia CCM kwa povu halafu baadaye wanaomba wanunuliwe chai na hao wa UKAWA, eti kwamba wamefulia.

Sisi hapa tumehakikisha kila kitu kinafuata utaratibu wa sheria, kura zimepeperushwa kama sheria inavyosema na kama NASA walivyoaomba mahakama iamuru. Baada ya hapo wameitwa mawakala wa vyama vyote, wana habari na washikadau wote wamekusanyika kuhesabu na kuhakiki kila fomu neno kwa neno, herufi kwa herufi, yaani zaidi ya hapo hamna kingine ila kutangaza mshindi.

Wachunguzi wote wa kutokea mataifa mbali mbali zikiwemo nchi za Kiafrika na Ulaya wote wamekubali kila kitu kimefanywa ipasavyo.

Heeee, umeanza lini kubishana na tafiti? Utafiti hupingwa kwa utafiti, walofanya huu utafiti wameweka vigezo, rejea kwenye article utavikuta!

Lakini pia hii ni report ya 2016! Ina maana hayo matatizo ya Zanzibar waliyaona na ndo yameshusha graph kidogo ulikinganisha na mwaka ulotangulia!

Hata hivyo, shida kubwa ya Zanzibar inatokana na mapungufu ya katiba ambayo kimsingi tumeshasema yanatakiwa kubadilishwa mara moja! Lakini suala la Zanzibar halikuisha kwa kutishiwa tu kunyimwa misaada, bali liliisha kwa uelewa mkubwa wa CUF ambao waliamua kuliacha hilo suala ili kulinda amani na kutumia njia nyingine za kidiplomasia.


Ukisema kuwa nyie mmefuata utaratibu wa sheria wa kurusha kura moja kwa moja, ni kweli maana tayari mna huo utaratibu ni lazima muufuate! Hapa kwetu bado yako mapungufu kwenye kipengele cha uchaguzi. Bado tuna kazi ya kurekebisha!


Kama ulivyosema kuwa demkorasia ni suala mtambuka, ndio maana kwenye mkanganyiko huo unakuta tz tunawazidi. Viko vipengele mnatuzidi na viko tunavyowazidi! Nadhani vile tunavyowazidi ndo vinasababisha alama zetu zinakuwa juu zaidi!
 
Inaweza isitufurahishe wana Afrika Mashariki lakini ukweli ni kuwa hakuna tume yenye kuweza kusikia matakwa ya vyama kama ilivofanya IEBC ya Kenya. Kenya watu wako militant na wanajua kushinikiza utaratibu ufuatwe na wakasikiwa. Na hata hivyo mbona walikubaliana matokeo yaambatane na form 34A na 34B lakini time ikakanyaga kanuni hivi walifanya hayo wakitarajia Nassa wakae kimya tu? Raila was right kulalamika hats kama atashindwa lakini ionekane haki inatendeka. Hivi EA kuna mwanasiasa aliyesuffer kupigania democracy ya nchi yake kama Raila Amolo Odinga ?Jela miaka 8 wakati Wa Moi naJomo wanatawala .Mzee Wa watu akisimama kidete alichopigania kisirudi nyumba anaonekana ni mlalamishi .Hivi hadi mtaalamu wa IT Wa tume anauawa nani anajua sababu? Haikuwa njama za MTU awfanikishe wizi?Kenya ninawaheshimu sana lakini ukabila hautawacha salama. Eti uongozi uwe unabadilshwa kati ya Kalenjin na Gikuyu tu. Halafu mtegemee Amani na umoja.? Sidhani. Haki huinua taifaa Bali uonevu utaliangamiza hats kama sio kizazi cha karibuni. Unfortunately you are sowing seeds of your destruction kwa kukumbatia ubaguzi. Ebu angalieni Zimbabwe ambako kabila LA Mugabe ni 51% ya population hivi utawla Wa Mugabe umewasaidia waote washona. Ni myth tu eti akitawala Wa kabila lako kabila lots mnafaidika. Likewise udini hauna faida maana Somalia isingekuwa a failed state wakati wana dini moja na kabila moja. Siku mkivuka ukabila nchi yenu itakuwa bora zaidi.Nimalizie kukiri kuwa Kenya mnaongoza E.Africa kwa katiba bora ambayo ni matunda ya watu waliokubali kuteseka kwa kuipigania mifano ikiwa akina Odinga/ Kariuki/kagia/Mboya/seoney Wamalwa/Shikuku na mashujaa wengine wengi waliokubali maumivu ili Leo muwe na hiyo katiba nzuri afrika mashsriki na kati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heeee, umeanza lini kubishana na tafiti? Utafiti hupingwa kwa utafiti, walofanya huu utafiti wameweka vigezo, rejea kwenye article utavikuta!

Lakini pia hii ni report ya 2016! Ina maana hayo matatizo ya Zanzibar waliyaona na ndo yameshusha graph kidogo ulikinganisha na mwaka ulotangulia!

Hata hivyo, shida kubwa ya Zanzibar inatokana na mapungufu ya katiba ambayo kimsingi tumeshasema yanatakiwa kubadilishwa mara moja! Lakini suala la Zanzibar halikuisha kwa kutishiwa tu kunyimwa misaada, bali liliisha kwa uelewa mkubwa wa CUF ambao waliamua kuliacha hilo suala ili kulinda amani na kutumia njia nyingine za kidiplomasia.


Ukisema kuwa nyie mmefuata utaratibu wa sheria wa kurusha kura moja kwa moja, ni kweli maana tayari mna huo utaratibu ni lazima muufuate! Hapa kwetu bado yako mapungufu kwenye kipengele cha uchaguzi. Bado tuna kazi ya kurekebisha!


Kama ulivyosema kuwa demkorasia ni suala mtambuka, ndio maana kwenye mkanganyiko huo unakuta tz tunawazidi. Viko vipengele mnatuzidi na viko tunavyowazidi! Nadhani vile tunavyowazidi ndo vinasababisha alama zetu zinakuwa juu zaidi!

Na mi nimeshtuka kidogo... Si kawaida ya MK kushindana na tafiti kwa maneno... Labda ni hangover ya uchaguzi
 
Acheni unafiki! Waangalizi wote wa kimataifa wamepongeza uchaguzi huu jinsi ulivyoendeshwa!
Pili, kitendo cha tume ya uchaguzi kutoa fomu za unakili wa matokeo ya kura za urais ni jambo jema sana! Huku kwetu mpaka leo tume yetu haijawahi kutoa fomu hizo kwa chaguzi zote!
Ukweli ni kwamba Uhuru kashinda kwa haki na Raila kashindwa kwa haki!
Tanzania tuna la kujifunza kutoka kwa Wakenya! Wivu na chuki zetu kwao hazisaidii!
Lkn sishangai wezi kuwachukia wapinga wizi!
Upuuzi mtupu. Nenda basi kaishi huko kwenye hiyo "demokrasia".
 
Inaweza isitufurahishe wana Afrika Mashariki lakini ukweli ni kuwa hakuna tume yenye kuweza kusikia matakwa ya vyama kama ilivofanya IEBC ya Kenya. Kenya watu wako militant na wanajua kushinikiza utaratibu ufuatwe na wakasikiwa. Na hata hivyo mbona walikubaliana matokeo yaambatane na form 34A na 34B lakini time ikakanyaga kanuni hivi walifanya hayo wakitarajia Nassa wakae kimya tu? Raila was right kulalamika hats kama atashindwa lakini ionekane haki inatendeka. Hivi EA kuna mwanasiasa aliyesuffer kupigania democracy ya nchi yake kama Raila Amolo Odinga ?Jela miaka 8 wakati Wa Moi naJomo wanatawala .Mzee Wa watu akisimama kidete alichopigania kisirudi nyumba anaonekana ni mlalamishi .Hivi hadi mtaalamu wa IT Wa tume anauawa nani anajua sababu? Haikuwa njama za MTU awfanikishe wizi?Kenya ninawaheshimu sana lakini ukabila hautawacha salama. Eti uongozi uwe unabadilshwa kati ya Kalenjin na Gikuyu tu. Halafu mtegemee Amani na umoja.? Sidhani. Haki huinua taifaa Bali uonevu utaliangamiza hats kama sio kizazi cha karibuni. Unfortunately you are sowing seeds of your destruction kwa kukumbatia ubaguzi. Ebu angalieni Zimbabwe ambako kabila LA Mugabe ni 51% ya population hivi utawla Wa Mugabe umewasaidia waote washona. Ni myth tu eti akitawala Wa kabila lako kabila lots mnafaidika. Likewise udini hauna faida maana Somalia isingekuwa a failed state wakati wana dini moja na kabila moja. Siku mkivuka ukabila nchi yenu itakuwa bora zaidi.Nimalizie kukiri kuwa Kenya mnaongoza E.Africa kwa katiba bora ambayo ni matunda ya watu waliokubali kuteseka kwa kuipigania mifano ikiwa akina Odinga/ Kariuki/kagia/Mboya/seoney Wamalwa/Shikuku na mashujaa wengine wengi waliokubali maumivu ili Leo muwe na hiyo katiba nzuri afrika mashsriki na kati

Sent using Jamii Forums mobile app
Umegusa penyewe kabisaaaa
 
Odinga alikosea kusema kuwa atakuja Tz kuazima mkasi wa kutumbua wakati kenya ni nchi ya kibepari Na demokrasia ya vyama vingi ipo wazi Na upinzani haupaswi kuminywa. Kwa kusema hivo alifikiri wakenya walio wengi wangempenda Na kumbe ni kinyume chake.

A word of his mouth costed him what is seeing.
 
Odinga alikosea kusema kuwa atakuja Tz kuazima mkasi wa kutumbua wakati kenya ni nchi ya kibepari Na demokrasia ya vyama vingi ipo wazi Na upinzani haupaswi kuminywa. Kwa kusema hivo alifikiri wakenya walio wengi wangempenda Na kumbe ni kinyume chake.

A word of his mouth costed him what is seeing.
hii ni Mara ya kwanza raila odinga kushindwa uchaguzi?? ningekubali point yako hii kama ndio ingekuwa Mara ya kwanza odinga kushindwa uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Kwa hapo tunawapongeza sana! Watanzania tukubali kuwa kwa habari ya uchaguzi Kenya wako juu sana! Mnyonge mnyonge lakini haki yake mpeni! Hapo mnatuzidi kwa mbali sana! Hongereni sana!
Ila bado ukabila Una sehemu kubwa sana nchini Kenya! Msahau kabila nyingine kutawala Kenya zaidi ya Ile ya rift valley!
 
ulitegemea tume itakubali udukuzi wa mitambo?
Kashaambiwa na EU apeleke ushahidi IEBC,vyombo vya dola au kortini!I bet hana ushahidi kuthibitisha hatoweza trust me! Mfa maji haachi.....................
 
Kashaambiwa na EU apeleke ushahidi IEBC,vyombo vya dola au kortini!I bet hana ushahidi kuthibitisha hatoweza trust me! Mfa maji haachi.....................
Nimemuona JOHO amesema wanazo karatasi zote 40,000 wana uhakika kabisa wameshinda,wanasubiri tume itangaze kinyume tu
 
Nimemuona JOHO amesema wanazo karatasi zote 40,000 wana uhakika kabisa wameshinda,wanasubiri tume itangaze kinyume tu

Duh maombi tu maana hawa jamaa ni kama wamejiandaa pachimbike, leo hii kuna maeneo ambayo ya mbali na pamoja na raslimali walizo nazo IEBC, makaratasi hayajafika yote, sasa hao NASA wameyakusanya kivipi aisei.
 
Back
Top Bottom