Makarani wa vyama vyote na wahudumu wa IEBC waanza kupitia fomu zote

Makarani wa vyama vyote na wahudumu wa IEBC waanza kupitia fomu zote

Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
kazi ilishamalizika mapema maana mawakala wa NASA walikataliwa kuchukua picha kwenye polling station so hapo tayari walishatengeneza maneno, this is Africa brother lakini tuwashukuru tume kufanya hivyo ili kupunguza furugu
 
Usitufanye mazuzu kama wewe.
Katiba ya Kenya hairuhusu kura kuhesabiwa kwa mikono.Hapo manzidi kuharibu mambo akitokea mtu akahoji mahakamani zoezi hilo limefanyika kwa kifungu kipi utasemaje.
Aliedukua mfumo na kuingiza lumpsum ya kura milioni 1,alikuwa ana uhakika kabisa kwamba Raila na Uhuru ni 50-50

Wewe unajua inabidi nikupuuze maana unavyokurupuka unaonekana haupo sawa kimawazo. Wapi ushahidi wa kwamba mfumo ulidukuliwa, sasa hivi upeperushaji umepungua kasi maana inabidi kuhakikisha kwa umakini mkubwa wa kuhusisha mawakala wote kuhakiki kila kinachopeperushwa, lakini pamoja na hiyo tofauti imekomaa hapo kwenye zaidi ya milioni moja, kwanza hiyo tofauti inaendelea kuongezeka.
 
nasikia jecha na lubuva wapo Nai,muwe makini
BTW japo sio kwa 100% ila uchaguzi umeonekana standard kwa levo ya kiafrika mashariki
Yes, kwa standard ya mashetani wa afrika, madikiteita wa afrika, manyangau wa afrika, Kenya wamejitahidi sana. Ni hii kasoro ya fomu hizo mbili 34A and 34B. IEBC wangelifanya hivyo, basi Kenya would have been a leading example in the world if not ......
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Kwa nini mulimuua Chris? Je mna jibu lake?
 
Fahamu kuwa uchaguzi kwetu ni kila kitu, maana tukifanya makosa tunaishia kuisoma namba kwa miaka mitano, hivyo inabidi kuchukulia serious, kama nyie hapo Tanzania huwa mnachukulia kama maigizo fulani hivi, basi usitegemee sisi tuige.
Aisee si utani ......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna la kijifunza kutoka kwenye Kwenu, Kinachofanywa na Vyama vya Siasa vya Kenya yaliishafanywa hapa Tanzania! CCM waliiba kura pia Jubilee wameiba, UKAWA walikataa Matokeo na kwenda Mahakamani pia NASA wamefanya!
 
Usitufanye mazuzu kama wewe.
Katiba ya Kenya hairuhusu kura kuhesabiwa kwa mikono.Hapo manzidi kuharibu mambo akitokea mtu akahoji mahakamani zoezi hilo limefanyika kwa kifungu kipi utasemaje.
Aliedukua mfumo na kuingiza lumpsum ya kura milioni 1,alikuwa ana uhakika kabisa kwamba Raila na Uhuru ni 50-50
watanzania kwann mnapenda kuonesha UJINGA wenu huku mitandaoni?...... hivi unafaham kwamba NASA walienda makahamani kuomba matokeo yatangazwe haraka kabla ya hizo form ili yasichakachuliwe?......

kinachofanyika hapo ni kufuata rulling ya mahakama baada ya NASA kuiomba mahakama iamuru IEBC watumie mfumo huo, hakuna kinachofanyika tofaut na matakwa ya NASA waliyoomba mahakaman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naamini matokeo yanayorushwa kwa mtandao yanatoka kwenye hizo form lakini ielewke kila chama kilikuwa na wakala kwenye kituo cha kupigia kura na hakuna mgombea alielalamika kuwa wakala wake hakupewa form ya matokeo ilitakiwa kila chama kikusanye form za matokeo yake then walinganishe na matokeo ya tume ikitokea tafauti malalamiko yatakua ni halali lakini tume imefanya uungwana kuwasikiliza walalamikaji ili wajiridhishe kwa hapa kwetu haiwezekani kujiridhisha ukingangania utacheza muziki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka Lowassa alivyopambana kulalamika kwamba kura zake zimeibiwa, akabeba ushahidi na kupeleka kwenye majengo ya tume, lakini alipuuziwa mbali na mshndi akatangazwa. Hilo tumewashinda kwa mbali maana kwetu sisi inabidi vyama vyote vihusishwe, hesabu zipigwe taratibu kiasi kwamba hakuna atakayebaki akilalamika.
Hilo nakubaliana na wewe, kuna baadhi ya vipengele mnatuzidi, lakini overall tunawazidi! Mambo kama tume ya uchaguzi kuwa final yanatakiwa kubadilishwa mara moja, na mengine mengi!
Uzuri nyie wakati mnaandaa katiba yenu mlijitahidi kufika mwisho kwa jinsi ambavyo wananchi wengi walipendekeza. Hapa kwetu hilo bado ni tatizo sugu lakini demokrasia haipimwi kwa katiba pekee.

Data zipo ambazo zimefanyiwa utafiti. Unaweza kupitia hapa! EIU Democracy Index 2016
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Demokrasia yetu!!?

Ingekuwa Bongo Mwenyekiti angesha kimbilia kutoa matokeo ya mwisho na kesho yake mtu anaapishwa!!
 
wanaosupport kuwa Kenya kuna Demokrasia zaidi ya Tanzania wanashangaza sana,Wakenya kila kitu cha msingi wanapata through Protesting watu lazima waumie kila siku,hii tume ya sasa imeweka through Protesting na bado ni mbovu kuliko halafu bado tunaiita hiyo ina Demokrasi??
Hivi bila ku protest hapa kwetu Tz tutapata nini?! WaTz tukubali ktk kudai haki tuko dhaifu sana!! SAMAHANI KAMA NIMEWAKERA HUMU.

Cairo's
 
Back
Top Bottom