Makarani wa vyama vyote na wahudumu wa IEBC waanza kupitia fomu zote

Makarani wa vyama vyote na wahudumu wa IEBC waanza kupitia fomu zote

Wanatuzidi kwa takwimu zipi? Au kwa maneno ya humu JF! tusaidie huo utafiti tuone tafadhali!

Japo mimi sifungamani na vyama vya siasa, lakini kitu ambacho kenya inaizidi tz ni kubadili vyama vya siasa vya kuongoza nchi! Na hicho sio kigezo pekee cha demokrasia!

Ukiangalia democracy index ya 2016, tz inaizidi Kenya.

Nakumbuka Lowassa alivyopambana kulalamika kwamba kura zake zimeibiwa, akabeba ushahidi na kupeleka kwenye majengo ya tume, lakini alipuuziwa mbali na mshndi akatangazwa. Hilo tumewashinda kwa mbali maana kwetu sisi inabidi vyama vyote vihusishwe, hesabu zipigwe taratibu kiasi kwamba hakuna atakayebaki akilalamika.
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Usitufanye mazuzu kama wewe.
Katiba ya Kenya hairuhusu kura kuhesabiwa kwa mikono.Hapo manzidi kuharibu mambo akitokea mtu akahoji mahakamani zoezi hilo limefanyika kwa kifungu kipi utasemaje.
Aliedukua mfumo na kuingiza lumpsum ya kura milioni 1,alikuwa ana uhakika kabisa kwamba Raila na Uhuru ni 50-50
 
Sheria inasema hizo forms ndio zikitangazwa itakua matokeo rasmi, walio-protest ilikua ni dhidi ya mfumo wa kupeperusha matokeo kwamba walituhumu kuwa umedukuliwa, sasa tume imeendelea kwenye hatua za mwisho kiutaratibu na kwa mujibu wa sheria ambayo inahusu kupitia fomu zote na makarani wa vyama vyote ili kukamilisha zoezi, ulitaka wafanye nini labda kwa ushauri wako.
weka kifungu cha hiyo sheria hapa tukichambue
 
Nakumbuka Lowassa alivyopambana kulalamika kwamba kura zake zimeibiwa, akabeba ushahidi na kupeleka kwenye majengo ya tume, lakini alipuuziwa mbali na mshndi akatangazwa. Hilo tumewashinda kwa mbali maana kwetu sisi inabidi vyama vyote vihusishwe, hesabu zipigwe taratibu kiasi kwamba hakuna atakayebaki akilalamika.
Hili suala la kusema Maamuzi ya Tume ni final ndio upuuzi tunaotakiwa kuuondoa asap hapa kwetu, japo sioni kama JPM anafikiria hilo maana ni vipengele vinaifanya chama chake CCM kuendelea kubaki madarakani..
Kwa ufupi nimefurahishwa na tume ya Kenya kuwa flexible. Japo mzee siasa zenu kwakweli hazifai kabisa.. You take politics very serious, labda huenda hili linachangiwa na rate kubwa ya unemployment hapo kwenu, Vijana wengi hawana kazi ya kufanya ndio maana ni rahisi kusombana na kuingia mitaani ku protest ikiwa wangeweza kuvumilia walau haya mauaji yasingetokea.
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Tujifunze ujinga!! You have failed mkuu!!
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Well done Kenyans. And the winner will remain Uhuru.
Hapa jamaa anahairisha tuu muujiza wake wa kushindwa tena kama ilivyokawaida yake
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Yaan hapo Uhuru akishinda ni aibu kwa Raila ila Yakiwa tofauti tutaamini aliehusika na mauaji ya Msando yupo jubilee
 
Kabla ya kuuliza hayo, Je mnazijua vigezo vya mji kufanywa jiji?

Kama hamzijui, fatilieni. Kama mnazijua, tuambieni moja ambayo mnadhani Arusha haijatimiza ili kuwa jiji kisha tutawajibu.

Acheni maswali mepesi.
Yaani wewe ni sifuri.
Unataka wafanyaje ujue kuwa wanasimamia demokrasia?
Jaluo wenu kapigwa tu
Ukiacha zingine zote,la miundombinu ya kukidhi haja ya jiji haipo.
Naona barabara moja tu bora tena imejengwa baada ya muda Mrefu baada ya kuwa jiji.
Fursa za Biashara ni kidogo

hiyo sio demokrasi sasa hiyo tunazungumzia the reaction of IEBC after protest,na ndicho kilichopo kwenye tume nyingi za africa they react on democracy they dont really practicing democracy.....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usitufanye mazuzu kama wewe.
Katiba ya Kenya hairuhusu kura kuhesabiwa kwa mikono.Hapo manzidi kuharibu mambo akitokea mtu akahoji mahakamani zoezi hilo limefanyika kwa kifungu kipi utasemaje.
Aliedukua mfumo na kuingiza lumpsum ya kura milioni 1,alikuwa ana uhakika kabisa kwamba Raila na Uhuru ni 50-50
Tume imekanusha udukuzi wa mitambo yao wewe unazungumzia mitambo ipi?
 
Kwa tofauti ya kura ya zaidi ya Milion moja, sioni namna yoyote kama huo ujumlishaji unaweza kugeuza matokeo. Huo mfumo wa kumjulisha manually unaweza kuwa na maana sana kama tofauti ya kura baina ya wagombea ingekuwa ndogo.

Lets we wait and see.
Tofauti I naweza shuka hadi ifikie negative

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi ona tume mbovu kama hii ya Kenya.
Na kwa kukurupuka huku ingeweza sababisha madhara makubwa Zaidi kwa Wakenya.
Eti inatangaza matokeo then baada ya kusikia harufu za damu inadai matokeo sio halali.
Na wewe unakuwaga na ufinyu sana wa kutambua mambo.
Demokrasia ipi unazungumza wakati watu wamerudi vijijini na tayari watu wameshatangulizwa kwa Maulana??
View attachment 562193
Hiyo picha wa maana gani!??
 
Hili suala la kusema Maamuzi ya Tume ni final ndio upuuzi tunaotakiwa kuuondoa asap hapa kwetu, japo sioni kama JPM anafikiria hilo maana ni vipengele vinaifanya chama chake CCM kuendelea kubaki madarakani..
Kwa ufupi nimefurahishwa na tume ya Kenya kuwa flexible. Japo mzee siasa zenu kwakweli hazifai kabisa.. You take politics very serious, labda huenda hili linachangiwa na rate kubwa ya unemployment hapo kwenu, Vijana wengi hawana kazi ya kufanya ndio maana ni rahisi kusombana na kuingia mitaani ku protest ikiwa wangeweza kuvumilia walau haya mauaji yasingetokea.

Fahamu kuwa uchaguzi kwetu ni kila kitu, maana tukifanya makosa tunaishia kuisoma namba kwa miaka mitano, hivyo inabidi kuchukulia serious, kama nyie hapo Tanzania huwa mnachukulia kama maigizo fulani hivi, basi usitegemee sisi tuige.
 
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya takwimu, herufi baada ya herufi na kukokotoa mahesabu yote kwa pamoja hadi kieleweke.
Walioshuku demokrasia yetu, muda muafaka ndio huu hapa wa majirani kujifunza kitu.
Demokrasia baada ya mtunza Servers za IEBC kufa?
 
Back
Top Bottom