Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasisahau kula, chakula kipo na kikotayariiiKwa kweli sasataifa limeungana chini ya Samia, naanza kuelewa kwa nini Lissu kaamua kuondoka View attachment 2519890
Tutaelewana tu!Kwa kweli sasataifa limeungana chini ya Samia, naanza kuelewa kwa nini Lissu kaamua kuondoka View attachment 2519890
Chadema wamejaliwa ubishi,matusi na majibu ya kijeuri,ona sasa!Tutaelewana tu!
Wahafidhina hampendi. Legacy inavyopotezwa. Siasa za maji taka za awamu ya mwenda zake hazina nafasi. Mnaugulia moyoniWasisahau kula, chakula kipo na kikotayariii
Asali imekuchanganya Hadi unatapika machicha ya mbege bwasheeWahafidhina hampendi. Legacy inavyopotezwa. Siasa za maji taka za awamu ya mwenda zake hazina nafasi. Mnaugulia moyoni
Tena tamu zaidi ukiilamba na kidole gumba au ka mtiAsali tamu
Safi sana Hongera sana Rais Samia Suluhu kwa kuirejesha democrasia hii ndio democrasia tulikua tunaitaka watanzania upinzania sio uadui sasa wote tumeungana kuijenga Tanzania moja Mungu akuweke Mama 2025 utapita kwa kishindo maana umeiponya nchiKwa kweli sasataifa limeungana chini ya Samia, naanza kuelewa kwa nini Lissu kaamua kuondoka View attachment 2519890
Wafuasi wa Lissu wanaotaka bei ya mchele wa mkulima uwe chini ili wapiga dili wanunue mchele sokoni kwa 500 kwa kilo wanawezaje kuwa mabolozi wa kilimoKwa kweli sasataifa limeungana chini ya Samia, naanza kuelewa kwa nini Lissu kaamua kuondoka View attachment 2519890
Hongera makatibu wa chadema huo ndo ukomavu wa kisiasa ,Kwa kweli sasataifa limeungana chini ya Samia, naanza kuelewa kwa nini Lissu kaamua kuondoka View attachment 2519890