Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu na watumishi wa halmashauri hawachekaniSioni wa kunicheka watumishi wengi wa halmashauri ni choka mbaya
Nyie ndio mwaharibu wanetu. Qwanza ni lugha gani?TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
Labda kwa lecturesWalimu wenye masters wanalipwa kuanzia kiasi gani?
Sijui unachoshangaa ni nini kwasababu kwa ajira za Tanzania ukiacha mashirika, hata daktari akikatwa vyote vya hapo anabaki na take home ya laki 8 na kitu kwahiyo difference yake ni laki 3. Hakuna aliyebora. Labda uwe kwenye taasisi au uwe na cheo. Hamna wa kumshangaa mwenzake.Ndyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..
Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..
Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..
Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..
Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Achana na mbwembwe za jf mkuu..mimi humu nawajua wengi tu wanalipwa laki 4,ila ukiwakuta wanavyowaponda walimu utadhani wao ni maboss wa vitengo flani.Mnaweza kuwa na mishahara mikubwa ila kujifanya hamjui kuwa Tanzania kuna watu wanalipwa 700,000/= imenishangaza sana.
Kwamba mshahara wako wewe ni 30m afu tuko wote tunabishana jf?Mimi bima tu ni zaidi ya milioni wanakata
Posho analipw sh.ngapTURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
Clinical assistant wa tamisemi au wizarani?Ndyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..
Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..
Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..
Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..
Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
HakikaHiyo 500k unayopata save 300k kwa mwaka mmoja au miezi 5 fungua tigo pesa mueke shemeji yako aliofeli form4 au alieacha shule kwa mwezi utaweza kupata back up ya 700k
Maisha ni mapambano
Hakuna mshahara ngazi ya Elimu ya Masters kama Mwalimu ni muajiriwa chini ya TAMISEMI au WIZARA YA ELIMU. Ila mamlaka nyingine e.g mashirika, taasisi, tume n.k Kuna scale ya Mwalimu ngazi ya Elimu ya Masters degreeWalimu wenye masters wanalipwa kuanzia kiasi gani?
Kwa anayeanza kazi baada ya Mankato hubaki na kiasi ganiTURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578