Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Mwendo ni ule ule pindi kidogo walimu
Wazazi serious wanapeleka watoto wao privet school
 
Niliwai kugundua ni kama walimu wapo kwenye passive aggressive
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Nyie ndio mwaharibu wanetu. Qwanza ni lugha gani?
 
Ndyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..

Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..

Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..

Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..

Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Sijui unachoshangaa ni nini kwasababu kwa ajira za Tanzania ukiacha mashirika, hata daktari akikatwa vyote vya hapo anabaki na take home ya laki 8 na kitu kwahiyo difference yake ni laki 3. Hakuna aliyebora. Labda uwe kwenye taasisi au uwe na cheo. Hamna wa kumshangaa mwenzake.
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Posho analipw sh.ngap
 
Ndyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..

Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..

Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..

Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..

Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Clinical assistant wa tamisemi au wizarani?
 
Hiyo 500k unayopata save 300k kwa mwaka mmoja au miezi 5 fungua tigo pesa mueke shemeji yako aliofeli form4 au alieacha shule kwa mwezi utaweza kupata back up ya 700k

Maisha ni mapambano
Hakika
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Kwa anayeanza kazi baada ya Mankato hubaki na kiasi gani
 
Back
Top Bottom