Makato ya HESLB: Rais Samia tunaomba mrudishe makato ya 8%, pia yazingatie sheria ya kubaki na 1/3 ya basic salary

Makato ya HESLB: Rais Samia tunaomba mrudishe makato ya 8%, pia yazingatie sheria ya kubaki na 1/3 ya basic salary

Kwa hiyo na wazazi wako waliokuzaa (hawa ndiyo walimu wako wa kwanza kabisa kukufundisha kula, kunya, kuvaa nguo, kupiga mswaki, kuoga, kusalimia, kuheshimu wakubwa zako, nk) nao ni ma house boy/girl wako siyo!!!

Kama wewe kweli ni mzazi, basi utakuwa na akili za kitoto kama walivyo hao watoto wako.
Umempa za uso.
 
Kwa hiyo na wazazi wako waliokuzaa (hawa ndiyo walimu wako wa kwanza kabisa kukufundisha kula, kunya, kuvaa nguo, kupiga mswaki, kuoga, kusalimia, kuheshimu wakubwa zako, nk) nao ni ma house boy/girl wako siyo!!!

Kama wewe kweli ni mzazi, basi utakuwa na akili za kitoto kama walivyo hao watoto wako.
Utakuwa mtotoo bado unalala namamako na babako...sikujibu!! Achakwanza
 
Haya ndiyo madhara ya kuwadharau walimu wako. Ona ulichokiandika hapa!!
Nikuulize nimewadharau walimu wapi? Nioneshe neno moja nilowadharau!? House boy na house girl nazo nikazi za kuheshimiwa labda wewe uwe unawadharau! Mimi walinilea utotoni nawaheshimu... achaga kukurupuka!!!
 
Nikuulize nimewadharau walimu wapi? Nioneshe neno moja nilowadharau!? House boy na house girl nazo nikazi za kuheshimiwa labda wewe uwe unawadharau! Mimi walinilea utotoni nawaheshimu... achaga kukurupuka!!!
Sasa mbona nimekuuliza pale mwanzo kuhusu walimu wako wa awali kabisa (yaani wazazi wako) kama nao ni Ma house boy/girl, umeshindwa kujibu?
 
Sasa mbona nimekuuliza pale mwanzo kuhusu walimu wako wa awali kabisa (yaani wazazi wako) kama nao ni Ma house boy/girl, umeshindwa kujibu?
Nikakwambia ntakujibu hilo ukiacha Nini? Au hukuona... We utakuwa mwalimu wapraimari vijijini mnaoshindia dadii embu tuliza niaje!
 
Back
Top Bottom