LUCAS HOOD
Member
- Oct 11, 2019
- 90
- 86
Now days natumia crypto kuhifadhi asset zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sad but trueWala. Wananchi wamelala kama makondoo wanabishana kuhusu Simba na Yanga.
Wangekuwa wakali unadhani wangethubutu kufanya huu ujinga? Mama haharibikiwi wala hatishiki, acha makondoo yakatwe fedha ili kina Kinana wapate fedha za kutumbua!
Maandamano NI ndoto za abunuasNdo maana Bp, visukari , havikai nao mbali nao , KWa kweli to be honest SSH hastahili hata kufika 2025, nchi imemshinda Sana na inazidi kumshinda, waziri wake fedha ndo hakuna kitu hivi ni uchumi GANI, unatoa KWa mkono wa kushoto na unaiba KWa mkono wa kulia?
Mtumishi aliongezewa elfu 20, huku mshahara wake nje codi anayokatwa, ikikumbana na tozo kwenye miamala, Luku, Sasa tena kwenye bank,huku mafuta juu, na KILA kitu juu,
Umepunguza ruzuku ya mbolea, huku mafuta na KILA kitu kiko juu, jumlisha tozo, maushuru ya kijinga huko mawilayani, unaongeza na tozo kwenye benk
Nawbia Sasa watu wameishafika kwenye peak mnacho kutaka KWa Sasa ni maandamano yasiyo kuwa na kikomo ,binafsi nayaona YAKO karibu na hamtahamini
Unauziwa kipande cha chupa kilichochongwa, unaambiwa ni madini afu cku ukitaka kuuza ndipo reality will smile on you!Nunua Madini,eg dhahabu uweke ndani, ni rahisi kuyapata, hayaozi, rahisi kuyahifadhi, yanapanda samani Kila leo.
Ni kweli mama Hana uwezo wa kuongoza ila hiyo 2025 tutamchagua nani binafsi sijaona mpinzani anayeweza kuongoza hii nchi kwahiyo tumuombe tu SSH hatuonee huruma sisi wanyongeNdo maana Bp, visukari , havikai nao mbali nao , KWa kweli to be honest SSH hastahili hata kufika 2025, nchi imemshinda Sana na inazidi kumshinda, waziri wake fedha ndo hakuna kitu hivi ni uchumi GANI, unatoa KWa mkono wa kushoto na unaiba KWa mkono wa kulia?
Mtumishi aliongezewa elfu 20, huku mshahara wake nje codi anayokatwa, ikikumbana na tozo kwenye miamala, Luku, Sasa tena kwenye bank,huku mafuta juu, na KILA kitu juu,
Umepunguza ruzuku ya mbolea, huku mafuta na KILA kitu kiko juu, jumlisha tozo, maushuru ya kijinga huko mawilayani, unaongeza na tozo kwenye benk
Nawbia Sasa watu wameishafika kwenye peak mnacho kutaka KWa Sasa ni maandamano yasiyo kuwa na kikomo ,binafsi nayaona YAKO karibu na hamtahamini
Wachawi wameshindwa kabbisa kumroga Mwigulu Nchemba aache tabia ya kutoza tozo zisizo na kichwa wala miguuSerikali imekata tozo kwenye miamala yote kuanzia tarehe moja July mwaka huu... Kama akaunti yako haina salio kwa sasa tozo litakatwa punde akaunti ikiwekewa fedha. View attachment 2327409
Kilichoandikwa kwenye jedwali na makato halisi ni vitu viwili tofauti kabisa kweli hii tozo imeliza watu wengi Bora basi wasingezilundika na kuja kuzitoa kwa mpigo Kuna watu wamekatwa mpaka wakabaki na balance ziro unafika atm hamna kitu unaenda kushinda njaa na watoto nchi ngumu sana hii kwa sasaMilioni tatu and above haivuki 5000 msilielie sana
Well said nakuunga mkono kabisaPanua ubongo wako kidogo. Tanzania tatizo kubwa siyo fedha ila ni matumizi. Matumizi yasiyo ya lazima na ufisadi ndiyo tanuru linalochoma fedha zetu.
Kabla hawajaingia kwenye kumtoza mwananchi kodi mara mbili au hata tatu kwa kitu kile kile ingebidi kwanza wapunguze utitiri wa viongozi wasio na umuhimu wowote na malipo ya anasa.
1. Wabunge wapunguzwe kabisa kwani wengi hawana kazi yoyote. Watu kama ma-DC, maafisa mipango etc waondolewe na ngazi za wilaya na mikoa wabaki viongozi wachache. Mawaziri na makatibu wapunguzwe kabisa.
Ununuzi wa magari ufanywe kulingana na hali halisi na siyo kununua magari ya kifahari. Viongozi wasafiri kwenye madaraja ya kawaida na kulala kwenye hotel za kawaida isipokuwa wale viongozi wakuu.
Vikao vya kupiga fedha ambavyo Magufuli alikuwa amevipunguza kabisa vimerudi kwa kasi na ufisadi kwa ujumla na pia ukwepaji kodi. Njia za kupata fedha ziko nyingi na siyo kukimbilia kuwakamua wananchi.
Ziko wapi hizo dhahabu og maana wsweza pata feki ikawa hasara kubwaNunua Madini,eg dhahabu uweke ndani, ni rahisi kuyapata, hayaozi, rahisi kuyahifadhi, yanapanda samani Kila leo.
Bora uchaguliwe hata wewe Kama hujaona nani anaweza kutuvushaNi kweli mama Hana uwezo wa kuongoza ila hiyo 2025 tutamchagua nani binafsi sijaona mpinzani anayeweza kuongoza hii nchi kwahiyo tumuombe tu SSH hatuonee huruma sisi wanyonge
Ni Haki YAKO kutoa mawazo yakoMaandamano NI ndoto za abunuas
Kumbuka pia benki nayo inakata chake! Tozo za kipumbavu hizo!Milioni tatu and above haivuki 5000 msilielie sana
Hii Tzn ina watu wa ajabu Sana ,eti analalamika kukatwa 4,000 kwenye zaidi ya mil.3 ,hii ni jambo la kushangaza Sana wakati kwenye miamala tuu ya simu unakatwa zaidi ya hiyo kweli laki moja tuu.Milioni tatu and above haivuki 5000 msilielie sana