Makato ya ushuru wa kuweka au kutoa fedha benki na kutuma na kupokea fedha kielektroniki waanza

Makato ya ushuru wa kuweka au kutoa fedha benki na kutuma na kupokea fedha kielektroniki waanza

Ndugu zangu Watanzania wenzangu hatuna budi kumpongeza mhe Dkt Mwigulu Nchemba kwa ubunifu wake mkubwa wa vyanzo vipya vya Mapato kupitia ATM yaani miamala ya kibenki. Hakika ndio barabara tunazoziona,reli,madawa hospitalini,elimu nk. Watanzania naamini watakuunga mkono. Hongera Sana PhD holder.
 
We msifie, halafu kwenye bajeti ya mwaka ujao aongeze tozo, ndo utajua hujui!!
 
Wala. Wananchi wamelala kama makondoo wanabishana kuhusu Simba na Yanga.

Wangekuwa wakali unadhani wangethubutu kufanya huu ujinga? Mama haharibikiwi wala hatishiki, acha makondoo yakatwe fedha ili kina Kinana wapate fedha za kutumbua!
Sad but true
 
Ndo maana Bp, visukari , havikai nao mbali nao , KWa kweli to be honest SSH hastahili hata kufika 2025, nchi imemshinda Sana na inazidi kumshinda, waziri wake fedha ndo hakuna kitu hivi ni uchumi GANI, unatoa KWa mkono wa kushoto na unaiba KWa mkono wa kulia?

Mtumishi aliongezewa elfu 20, huku mshahara wake nje codi anayokatwa, ikikumbana na tozo kwenye miamala, Luku, Sasa tena kwenye bank,huku mafuta juu, na KILA kitu juu,

Umepunguza ruzuku ya mbolea, huku mafuta na KILA kitu kiko juu, jumlisha tozo, maushuru ya kijinga huko mawilayani, unaongeza na tozo kwenye benk

Nawbia Sasa watu wameishafika kwenye peak mnacho kutaka KWa Sasa ni maandamano yasiyo kuwa na kikomo ,binafsi nayaona YAKO karibu na hamtahamini
Maandamano NI ndoto za abunuas
 
Nunua Madini,eg dhahabu uweke ndani, ni rahisi kuyapata, hayaozi, rahisi kuyahifadhi, yanapanda samani Kila leo.
Unauziwa kipande cha chupa kilichochongwa, unaambiwa ni madini afu cku ukitaka kuuza ndipo reality will smile on you!
 
Ndo maana Bp, visukari , havikai nao mbali nao , KWa kweli to be honest SSH hastahili hata kufika 2025, nchi imemshinda Sana na inazidi kumshinda, waziri wake fedha ndo hakuna kitu hivi ni uchumi GANI, unatoa KWa mkono wa kushoto na unaiba KWa mkono wa kulia?

Mtumishi aliongezewa elfu 20, huku mshahara wake nje codi anayokatwa, ikikumbana na tozo kwenye miamala, Luku, Sasa tena kwenye bank,huku mafuta juu, na KILA kitu juu,

Umepunguza ruzuku ya mbolea, huku mafuta na KILA kitu kiko juu, jumlisha tozo, maushuru ya kijinga huko mawilayani, unaongeza na tozo kwenye benk

Nawbia Sasa watu wameishafika kwenye peak mnacho kutaka KWa Sasa ni maandamano yasiyo kuwa na kikomo ,binafsi nayaona YAKO karibu na hamtahamini
Ni kweli mama Hana uwezo wa kuongoza ila hiyo 2025 tutamchagua nani binafsi sijaona mpinzani anayeweza kuongoza hii nchi kwahiyo tumuombe tu SSH hatuonee huruma sisi wanyonge
 
Milioni tatu and above haivuki 5000 msilielie sana
Kilichoandikwa kwenye jedwali na makato halisi ni vitu viwili tofauti kabisa kweli hii tozo imeliza watu wengi Bora basi wasingezilundika na kuja kuzitoa kwa mpigo Kuna watu wamekatwa mpaka wakabaki na balance ziro unafika atm hamna kitu unaenda kushinda njaa na watoto nchi ngumu sana hii kwa sasa
 
Panua ubongo wako kidogo. Tanzania tatizo kubwa siyo fedha ila ni matumizi. Matumizi yasiyo ya lazima na ufisadi ndiyo tanuru linalochoma fedha zetu.

Kabla hawajaingia kwenye kumtoza mwananchi kodi mara mbili au hata tatu kwa kitu kile kile ingebidi kwanza wapunguze utitiri wa viongozi wasio na umuhimu wowote na malipo ya anasa.

1. Wabunge wapunguzwe kabisa kwani wengi hawana kazi yoyote. Watu kama ma-DC, maafisa mipango etc waondolewe na ngazi za wilaya na mikoa wabaki viongozi wachache. Mawaziri na makatibu wapunguzwe kabisa.

Ununuzi wa magari ufanywe kulingana na hali halisi na siyo kununua magari ya kifahari. Viongozi wasafiri kwenye madaraja ya kawaida na kulala kwenye hotel za kawaida isipokuwa wale viongozi wakuu.

Vikao vya kupiga fedha ambavyo Magufuli alikuwa amevipunguza kabisa vimerudi kwa kasi na ufisadi kwa ujumla na pia ukwepaji kodi. Njia za kupata fedha ziko nyingi na siyo kukimbilia kuwakamua wananchi.
Well said nakuunga mkono kabisa
 
Back
Top Bottom