Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Akaunti yenyewe haina umuhimu kiviile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah.jamaa unaumwa aiseee .kuna wengine wanatoa kila siku ile zipo kwenye mzunguko .maana anakatwa kila siku.Hii Tzn ina watu wa ajabu Sana ,eti analalamika kukatwa 4,000 kwenye zaidi ya mil.3 ,hii ni jambo la kushangaza Sana wakati kwenye miamala tuu ya simu unakatwa zaidi ya hiyo kweli laki moja tuu.
Ndio inavyotakiwa kwa sababu the more you transact the more you contribute to development,so ukiwa na mzunguko mkubwa unachangia mara nyingi etc..Dah.jamaa unaumwa aiseee .kuna wengine wanatoa kila siku ile zipo kwenye mzunguko .maana anakatwa kila siku.
Bro, Kama unatoa pesa mara moja kwa mwezi unaweza ukasema ndogo, Ila Kama unatoa pesa mara kwa mara hiyo pesa ni nyingi mno.Milioni tatu and above haivuki 5000 msilielie sana
Kuwa na reasoning basi, kulamba asali ndio upoteze ubongo kiasi hiki?Haya yote chanzo Ni magufuli, fedha zote aliingiza kwenye mamiradi yake, wenzie wamekuta Nchi haina akiba ya fedha
Hiki ndio kitu ndio nilikuwa nakitafuta had nimefungua Uzi adm naombeni ule Uzi wangu uunganishwe huku kwani majibu nimepata sasaSerikali imekata tozo kwenye miamala yote kuanzia tarehe moja July mwaka huu... Kama akaunti yako haina salio kwa sasa tozo litakatwa punde akaunti ikiwekewa fedha. View attachment 2327409
Broo unajishughurisha na nini?.. Jitu kama wewe mara nyingi ni yale yanayojifanyaga MAKADA kutwa vijiweni kupiga kelele . Yanateteaga hata ukiwa upumbavu ilimradi2 umefanywa na mtu wa upande wake?...Ndio inavyotakiwa kwa sababu the more you transact the more you contribute to development,so ukiwa na mzunguko mkubwa unachangia mara nyingi etc..
Sasa kuna shida gani hapo? Imeathiri biashara yako?
Hakikaa kwa kweli wasilielie jmn mm naona tulipe tu kwa amani hkn namna mnk nilijuwa Ni elf 45000 hukoMilioni tatu and above haivuki 5000 msilielie sana
Yaani kila kitu mkiharibu mnakimbilia kivuli. Sawa ni JPM ameharibu sana yaani inatakikana apigwe afukuzwe huyu MagufuliHaya yote chanzo Ni magufuli, fedha zote aliingiza kwenye mamiradi yake, wenzie wamekuta Nchi haina akiba ya fedha
Wewe hata mumeo jogoo akishindwa kupanda mtungi utamlaumu MagufuliHaya yote chanzo Ni magufuli, fedha zote aliingiza kwenye mamiradi yake, wenzie wamekuta Nchi haina akiba ya fedha
Milioni tatu and above haivuki 5000 msilielie sana
Vyuoni wanataka PhD quality sio za mchongo hakuna namna arudi mtaani tuNi shetani pekee au mwendawazimu anaeweza kutetea huu upunguani wa phd isiyotumia busara na hekima.
Hatuwezi kuendelea kwa kutumia elimu ya darasani pekee, busara na hekima inatakiwa katika 75% ya maamuzi yoyote hasa yanayogusa jamii, huyu waziri mpuuzi anayeamka ns tozo bila kujali kunakotozwa tayari kushakatwa kodi nyingine ni sawa na kichaa, mtu kama huyu mwenye phd ambayo haina busara na hekima bora aende akafundishe vyuoni
bibie inaonekana mumeo Ni kazee Fulani akasimamishi!!, Njoo nikupigenaoWewe hata mumeo jogoo akishindwa kupanda mtungi utamlaumu Magufuli
Tujenge nchi tuache makasiriko .Serikali imekata tozo kwenye miamala yote kuanzia tarehe moja July mwaka huu... Kama akaunti yako haina salio kwa sasa tozo litakatwa punde akaunti ikiwekewa fedha. View attachment 2327409
Sasa Mwigulu Nchemba ana kosa gani!Wachawi wameshindwa kabbisa kumroga Mwigulu Nchemba aache tabia ya kutoza tozo zisizo na kichwa wala miguu