Makazi Mapya Kwa watu wenye vipato vya Kati Dar/Pwani

Makazi Mapya Kwa watu wenye vipato vya Kati Dar/Pwani

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Ndugu wanajamvi.

Kwa kasi yanukuaji wa jiji la Dar.es salaam ni dhahiri kwamba Mila basada ya Mila kumi.panaibuka makazi mengine ya kishua ukiachana na Yale ya uswazi anbayo yanakera sana na Hakuna ustarabu.

Baadhi ya maakazi ya watu wa kipato cha kati na kishua ya hivi karibuni Ambayo Kwa sasa yameonekana kujaa na gharama ya aridhi Ipo marudufu ni kama ifuatavyo.
1.Tabata
2 Goba
3. Kinyerezi.
4. Bunju
5. Kibamba.
6. Kijichi.
7. Maweni..
Etc
Kwa kijana anayetaka kuja kuwa mshua baadae unamshauri Anunue wapi maeneo mapya.ambapo patakuja kuwa ushuani baadae kama kijichi/Tábata/Goba etc. Ambako bei ya viwanja Bado haijawaka sana.
Nawasilisha
 
Ndugu wanajamvi.

Kwa kasi yanukuaji wa jiji la Dar.es salaam ni dhahiri kwamba Mila basada ya Mila kumi.panaibuka makazi mengine ya kishua ukiachana na Yale ya uswazi anbayo yanakera sana na Hakuna ustarabu.

Baadhi ya maakazi ya watu wa kipato cha kati na kishua ya hivi karibuni Ambayo Kwa sasa yameonekana kujaa na gharama ya aridhi Ipo marudufu ni kama ifuatavyo.
1.Tabata
2 Goba
3. Kinyerezi.
4. Bunju
5. Kibamba.
6. Kijichi.
7. Maweni..
Etc
Kwa kijana anayetaka kuja kuwa mshua baadae unamshauri Anunue wapi maeneo mapya.ambapo patakuja kuwa ushuani baadae kama kijichi/Tábata/Goba etc. Ambako bei ya viwanja Bado haijawaka sana.
Nawasilisha

Kumbe Swali ...?

Nimekuja faster nikajua ni taarifa.!

Haya, ngoja tusubiri majibu
 
Pendekezo langu bora ni Kiluvya,Kibaha au Mlandizi hizo sehemu hazitokaa zichuje,hamna hamna uelekeo wa Bagamoyo iwe Kerege kule kuna maeneo mazuri sana ya kuishi.
 
1. Mbweni-Kiharaka/Zinga/Kitopeni/Kiromo/ Mapinga/ Kerege (Bagamoyo Pwani)

2. Chanika/Bombambili/Majoe/Buyuni (Ilala Dar es Salaam)

3. Vikindu/Vianzi/ Mkuranga/ (Mkuranga Pwani)

4. Machimbo/Zingiziwa/Mbande/Kitonga (Temeke &Ilala Dar es Salaam)

5. Madale/ mbopo/Msakuzi/ Mambwepande (Ubungo& Kinondoni Dar es Salaam)
 
Kuna eneo sio maadufu kivile , ni kati ya bunju , mabwe , mbopo na wazo linaitwa kinondo.
Pale kuna wakuu wengi wana maeneo ya haja , mf sumaye ana hekta kadhaa, inasemekana pia Ridhiwani ana eneo km za mraba kadhaa, na amezungusha Uzio.

Bado hapajawa bei sana ila pana hadhi yake huki mbeleni.
 
Sisi wenye pesa tuendelee kuwavua wenye nyumba za urithi kinondoni na kuzibomoa na kujenga mahekalu yetu
 
Goba, Madale, Mbopo, Msakuzi, Msumi, Mabwepande.

Mpigi, Kwembe, Kibamba, Kiluvya, Kibaha, Mlandizi.

Low-Middle income pipo ndio sehemu za kwenda.
 
1. Mbweni-Kiharaka/Zinga/Kitopeni/Kiromo/ Mapinga/ Kerege (Bagamoyo Pwani)

2. Chanika/Bombambili/Majoe/Buyuni (Ilala Dar es Salaam)

3. Vikindu/Vianzi/ Mkuranga/ (Mkuranga Pwani)

4. Machimbo/Zingiziwa/Mbande/Kitonga (Temeke &Ilala Dar es Salaam)

5. Madale/ mbopo/Msakuzi/ Mambwepande (Ubungo& Kinondoni Dar es Salaam)
1 na 5 upo Sawa zingine sidhani
 
Kuna eneo sio maadufu kivile , ni kati ya bunju , mabwe , mbopo na wazo linaitwa kinondo.
Pale kuna wakuu wengi wana maeneo ya haja , mf sumaye ana hekta kadhaa, inasemekana pia Ridhiwani ana eneo km za mraba kadhaa, na amezungusha Uzio.

Bado hapajawa bei sana ila pana hadhi yake huki mbeleni.
Ujinga wa watz sasa uliowataja wanakaa au wanafuga tu maeneo wayauze sasa ww mtu na akili unacha mji unaenda kaa kwenye kenge na maji ya malabo ma mgombe dah kweli wahindi wana akili
 
Back
Top Bottom