[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyumba za watu unaita kifusiHicho ni kifusi tu, zibomolewe yapigwe maghorofa hapo.
Ndo mana najaribu kuangalia sioni mabata.Picha zenyewe nimepiga kiuoga sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa chenga sana eti kifusi nimecheka lakin dah maisha ayaHicho ni kifusi tu, zibomolewe yapigwe maghorofa hapo.
Mkuu kwani ulifeli kidato cha 4 mpk hukuipenda iyo kazi! Mana niliwasikia wenyewe wanasema hilo jambo[emoji23] eni wei utani tu[emoji13] tupambane tujenge za kwetu tusipende vya bureHawa jamaa wanatumiwa tu ila nchi haiwajali hata wenyewe nawasikia wakilalamikia juu ya hilo.Wanasema stahiki zao hawazipati.
Nachomshukuru MUNGU sijawahi ipenda hii kazi.[emoji1][emoji1][emoji23]
Utani tu ila kule kuna wasomi wengi.[emoji1]Mkuu kwani ulifeli kidato cha 4 mpk hukuipenda iyo kazi! Mana niliwasikia wenyewe wanasema hilo jambo[emoji23] eni wei utani tu[emoji13] tupambane tujenge za kwetu tusipende vya bure
Tumechezewa kweri kweriiii ndugu zanguWw jamaa ni mzalendo kweli kweli. Japo huwakubali askari lakini unawatetea. Hiyo ni nzuri.
Lakini ungenipa moja mbili, huwa ni kwanini huwakubali?
YESU NI MWOKOZI
Hoja nzuri sana, tumezidi kuwadekezaNgoja niulize kitu kwani hawa askari hawalipwi mishahara? Na je kama wanalipwa kwa nn wasijiongeze kutafuta makazi kwa mshahara wake kama walivyo wafanyakazi wengine.