Makazi ya FFU Ukonga yaangaliwe upya, yamechakaa sana

Makazi ya FFU Ukonga yaangaliwe upya, yamechakaa sana

Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124
yani nyumba za uhuru mpaka leo zinatumika inatakiwa tujitafakari
 
Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124
mpwayungu village
 
Hawa makazi Yao yapo duni lengo ni kuwafanya wawe na hasira ili wapinzani wakiandamana wawapige
 
Alafu hata usafi wa mazingira yao wanasubiri pia serikali?!
 
Ulikua unapiga huku unajifanya kama unatafuta namba ya mtu au kujifanya unaongea loudspeaker
 
Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124
Makazi hayo yasiboreshwe ili akili ziwakae sawa kwa kuwabeba "waovu".
Kwanza makazi yaboreshwe kwa kazi nzuri ambayo wamewafanyia Watanzania zaidi ya kusababisha mauaji ya kiholela ya raia na kusaidia wizi wa kura nyakati za uchaguzi ??
 
Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124
Acha wakome wakipitaka na magwanda yao wanaonaga wameyapatia kumbe ni tabulele!
 
Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124
Hebu pitiana huko Dodoma uone makazi ya hawa jamaa. Hakika utashangaa kuziona uniport na vijumba walivyojijengea ili tu maisha yaende. Waoneeni huruma, hawa pia ni wenzetu.
 
Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124
Kuchakaa ndio hata na usafi usifanyike au majengo yametelekezwa
 
Ungesogea kwa juu kule uone askari magereza wanaishi kwenye full suit bati chini hadi juu
Yani usipopata hasira pale hupati tena mahali pengine
 
Back
Top Bottom