Makazi ya FFU Ukonga yaangaliwe upya, yamechakaa sana

Makazi ya FFU Ukonga yaangaliwe upya, yamechakaa sana

Ww jamaa ni mzalendo kweli kweli. Japo huwakubali askari lakini unawatetea. Hiyo ni nzuri.

Lakini ungenipa moja mbili, huwa ni kwanini huwakubali?


YESU NI MWOKOZI
Serikali iwajengee makazi na pia wakubwa wa maheleza wanawatumia vipi wafungwa kuleta tija ?

Rukwa nimeona wafungwa wanafyatua tofari,wanajenga nyumba za askari
 
Waangaliwe.Ila wakiwa kazini ni hopelesses sana.Watumie akili zaidi.Kwa mama Samia watafungwa wasipotumia akili.Nimewaonya.
 
Ngoja niulize kitu kwani hawa askari hawalipwi mishahara? Na je kama wanalipwa kwa nn wasijiongeze kutafuta makazi kwa mshahara wake kama walivyo wafanyakazi wengine.
Nahisi, askari hasa polisi au magereza si vyema kukaa uraiani kwa sababu za kiusalama.

Naskia nchi nyingine askari wote wanakaa kambini hawachanganyikani na raia.
 
Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124
Hao ndio hadhi yao kutokana na roho mbaya zao,wanatakiwa kukaa nyumba z tembe
 
Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124
Vijumba vidogo hata ukikaa humo na uwezo wako wa kufikiri unakua mdogo unawaza kung'arisha buti, kuwahi lindo na kula ugali mkubwa, kunywa safari lager kubwa ya moto na kufuga bata.
View attachment 1831476
 
Hawa FFU wanapewa mazingira magumu ili kuwa na hasira muda wote ili wawapige wapinzani wa CCM
Mfano kulala pabovu,pia viongozi wao wakisikia kuna maandamano ya amani ya wapinzani basi FFU husindishwa juani wakiwa na njaa na kiu baada ya hapo huambiwa wamefanyiwa hivyo kwasababu ya wapinzani hivyo waende wakawapige haswaaa!!!
 
Pole yao sana, kazi yao pia ni ya dhambi sana...
 
Pole yao sana, kazi yao pia ni ya dhambi sana...
Polisi si kazi ya dhambi ila matendo ndio huingiza watu katika dhambi:-
-Ukiwa polisi mla rushwa utapata dhambi.
-Ukiwa mbambika kesi utapata dhambi.
-Ukiwa mdhulumati utapata dhambi.

Kiufupi kazi ya polisi ni kazi halali inayotambulika hata na dini zetu ila askari wenyewe tu wanafanya kazi yao kuonekana ni ya hovyo.
 
Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124

Nyumba zimechakaa au wamezichakaza, inaonekana wazi kabisa wanaoishi kwenye hizo nyumba hawana ustaarabu hata wangepewa nyumba mpya ipo siku wataomba tuwasaidie kuzisafisha wakati wao ndiyo wanalala humo, taswira nzima ipo kwenye usafi wa mazingira.

Sawa nyumba ni za zamani je hata usafi wa mazingira nao unawashinda!!? bora waendelee kuishi hivyohivyo
 
-Ukiwa polisi mla rushwa utapata dhambi.
-Ukiwa mbambika kesi utapata dhambi.
-Ukiwa mdhurumati utapata dhambi.
Haya huwa hawayaelewi labda tu yaingizwe kwenye mtaala wao huko wanakosoma
 
Mbona wengi tunaishi nao uraiani, itakuwa hizo nyumba huenda wanafugia kuku
 
Jana nilifanikiwa kupita maeneo ya makazi ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) pale Ukonga, Dar Es Salaam.

Ni makazi duni sana, yamechakaa, hayastahili kukaliwa kwa sasa! Japo sijawahi kuwakubali askari, lakini kama wanajitahidi kulitumikia Taifa, kwanini Serikali isiwaangalie kwa jicho la pekee?

Zile nyumba pale hazifai kabisa ni udhalilishaji kwa wapiganaji wetu ambao wamejitolea maisha yao kwajili ya taifa. Waziri Simbachawene hebu liangalie hili kwa jicho la upekee!

Nawasilisha.

View attachment 1830116
View attachment 1830122
View attachment 1830123
View attachment 1830124
Kwa ujumla hawa viumbe ndivyo walivyo; wewe unaweza uka-puu alafu ukaimbia serikali ije kumwaga maji: ?

1. Mbona nyumba za Wanasheria hatusikii haya?
2. Mbona Kota ZA Benki pale Tabata hatusikii wala kuona haya?
3. Mbona kota za Mawaziri mikocheni hatusikii haya?
4. Mbona nyumba za walimu hatusikii haya?
5. Mbona kota za mapadre kule kurasini hatusikii wakimuita Pengo aje kufanya usafi?
 
Back
Top Bottom