Makazi ya Mbowe huko Machame yatufunze kujitegemea siyo kuiba mali za umma kama wafanyavyo wanasiasa wengi nchini

Mbowe huyu wa chadema au kuna mbowe new model tusiemjua?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bro, unajua pesa za CHADEMA huwa zinatumikaje?!

Mchagga na udokozi ni kama moto na majivu, haviachani.
 
Mbowe huyu wa chadema au kuna mbowe new model tusiemjua?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bro, unajua pesa za CHADEMA huwa zinatumikaje?!

Mchagga na udokozi ni kama moto na majivu, haviachani.
Nyumba inaonekana mpya na mbowe ni mfanyabiashara angeshajenha tangu miaka ya ya 90...Hapo watu washapigwa hao wengine wanaforce tabasamu ila ukweli wanaujua jamaa ananipa pension ana miaka kama 61 sasa.😅😅
 
Sasa maendeleo huwa hayaji kwa namna hiyo. Watu kutokujenga vijiji wanapotokea sio sababu ya msingi kwa vijiji hivyo kutoendelea bali hicho ni kisingizio. Watu wanaendelea kwa kuhama eneo moja na kwenda kwingine kupeleka nguvu kazi na kukiwa na Halimashauri imara zenye weledi kiitendaji mbona maendeleo yanatokea bila shida.
 
Inasemekana 2015 alipewa billion 12 Ili amwachie llowasa agombee urais !!
 
Inasemekana 2015 alipewa billion 12 Ili amwachie llowasa agombee urais !!
Mbowe ndo CHADEMA na CHADEMA ndo Mbowe. Ndani ya CHADEMA Mbowe ni kama sheria. Akishatamka hakuna kima mwingine yeyote atakayebisha. Hii agenda yao ya katiba ni ya kupuuzwa kwasababu wao wenyewe hawafuati katiba yao. Katiba yao ni Mbowe.
 
Kuna watoto wa buku mbili wanamchukulia Freeman Mbowe kama mwenzao.

Hapa ni nyumbani kwake kijijini Machame huko kwenye mashamba ya ndizi, Kilimanjaro.

Mwaka 1991 alifunga ndoa ya kifahari sana huku akiwa mdhamini mkuu wa Yanga.

Freeman Mbowe is a living legend.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…