Makazi ya Mbowe huko Machame yatufunze kujitegemea siyo kuiba mali za umma kama wafanyavyo wanasiasa wengi nchini

Makazi ya Mbowe huko Machame yatufunze kujitegemea siyo kuiba mali za umma kama wafanyavyo wanasiasa wengi nchini

Ila hawa jamaa wanaishi maisha mazuri sana
Ukipita barabarani kutoka KIA utajua yaani ukubwa wa viwanja utasema mitaa ya states 😄
 
Machame nyumba za ainahiyo zipoje kibao kuanzia kulejuu Nronga Masama Kibosho Umbwe Mailisita Tena nzuri kuliko hiyo ya hapo Nshara Kwa Mbowe

Hivyo ma White House kibao!!!
Waambie hao....
 
...

Unaamua kuingia zako field ukiwa na viapo vyote,ukiishatia mguu ndipo unagundua hapa hakuna cha kuuza simu tunapangana kilofa tu.
Sikia Mgaratia ooh sorry mkorinto ipo hivi, njia ya mafanikio anayopitia mwenzako ni tofauti na yako itakayokutoa.

So wakati mwingine tunadharau misukumo ya nafsi zetu kuendea mafanikio, mwishowe tunaangukia kujiua kama unavyosema.
 
UWT si ndio "Usalama Wa Taifa" kwa humu JF tangu ilipoanzishwa!!??
Pole kwa kuwa mgeni wa JF.
UWT hii siyo hiyo ya Umoja wa Wanawake wa CCM.
Najua kuwa usalama ni TISS, sikujua kwamba kuna kifupisho cha UWT, elimu haina mwisho asante kwa kunifahamisha.
 
Mbowe kazaliwa kakuta baba ni milionea. Mzee Aikaeli Mbowe alikuwa tajiri mkubwa kabla ya uhuru na ni mnufaika wa matunda ya uhuru. Ile keki ya taifa inayotajwa yeye Mzee Aikaeli alijimegea kipande cha kutosha. Isitoshe Mbowe alikuwa mjanja kupata baba mkwe tajiri ambaye akamrithisha biashara ya chama. Kwenye msiba wa Mzee Aikaeli ilikuwa kama sherehe. Mimi nilikuwa mdogo nakumbuka nilikunywa soda 7 pale msibani ndani ya masaa machache. Ukiachana na biashara zingine kwa zile ruzuku na maokoto ya Covid19 lazima angejenga hekali kali.
KunYWa soda 7 unaonyesha ulivyo mkafi
Mbowe kazaliwa kakuta baba ni milionea. Mzee Aikaeli Mbowe alikuwa tajiri mkubwa kabla ya uhuru na ni mnufaika wa matunda ya uhuru. Ile keki ya taifa inayotajwa yeye Mzee Aikaeli alijimegea kipande cha kutosha. Isitoshe Mbowe alikuwa mjanja kupata baba mkwe tajiri ambaye akamrithisha biashara ya chama. Kwenye msiba wa Mzee Aikaeli ilikuwa kama sherehe. Mimi nilikuwa mdogo nakumbuka nilikunywa soda 7 pale msibani ndani ya masaa machache. Ukiachana na biashara zingine kwa zile ruzuku na maokoto ya Covid19 lazima angejenga hekali kali.
KunYWa soda 7 inaonyesha ulivyo mlafi!
 
Tabia ya kuhamasika na kila yanayoonekana kuwa ni mafanikio ndio imefanya vijana wengi kukata tamaa na kuishia kujiua au kulewa wakati wote.

Unaiona nyumba nzuri ya mbowe,unahamasika unaamua kuiga anachofanya kwa nia nzuri kabisa.
Yah,Kwanini huyu auze simu mpaka ananunua range mimi nishindwe!!!

Unaamua kuingia zako field ukiwa na viapo vyote,ukiishatia mguu ndipo unagundua hapa hakuna cha kuuza simu tunapangana kilofa tu.
Vijana wa makumbusho [emoji23][emoji23]...

Naskia ni wanaliwa ile mbaya

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.

Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.

Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.

Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu

Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki.

View attachment 2812303
Mbowe hii nyumba ni ya kijijini, zipo Moshi, Arusha, Dodoma na Dar es salaam.
Bado za biashara na Viwanja, mahoteli, Wenzetu huko Kwao sijui wanajenga wapi, au wananunua appartment wakizeeka wataendelea kuishi kwenye appartment.?
 
Back
Top Bottom