Tetesi: Makinda kumrithi JK Uenyekiti CCM

Tetesi: Makinda kumrithi JK Uenyekiti CCM

Utaratibu si msaafu! unabadilishwa wakati wowote kwa vikao halali katika chama. Umefika wakati wa kutenganisha shughuli za chama na serikali. UKAWA punguzeni jazba wakati chama chetu kikiweka mambo sawa kuwaletea maendeleo wananchi. Yule mamvi kama mnampenda bado mkanywe nae chai.
Mnataka kukwepa kutumbuliwa majipu maana huko yashaiva sana ni kugusa tu
 
Sugarmummy langu ambalo ni miongoni mwa wajumbe wa UWT ngazi ya Taifa amenitonya kwamba anayefikiriwa na vigogo wa CCM kwa sasa katika nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa ni Jecha Salum Jecha ama Mzee Stephen Wassira. Magufuli hatakiwi, alisisitiza sugarmummy huyo mwenye bashasha.
 
Basi wangemteua kugombea urais in the first place. Hapo sifa zake hazikuonekana?
This must be a joke.
wapi nyie acheni maneno yenu mbona lowassa hakuja ukawa in the first place mpaka tulivomkata???
sio kila mtu anafit kuwa rais wa nchi unaweza kulinganisha uwezo wa jpm na makinda katika uongozi wa nchi???afu msitupangie tufanye nini,kama sisi ambavyo hatuwapangii mumchague nani awe mwenyekiti wa chama chenu
 
Kuna kila dalili kuwa Spika Mstaafu, Mhe. Mama Anne Makinda kumrithi Dr. JK uenyekiti wa chama Tawala, hii inajidhirisha wazi kutokana na uzoefu wa mwanamama huyu shupavu katika medani za kisiasa hapa nchini.

Chanzo kinasema, Katika kuhakikisha hoja jinsia inazingatiwa Chamani ni wakati muafaka UENYEKITI kushikiliwa na Mwana Mama kaka ilivyo kwa Chama rafiki cha AFRICAN NATIONAL CONGRESS (ANC) nchini Afrika kusini kinachoongozwa na mwanamama mahiri Mhe. Baleka Mbete. Kwa CCM Hongera mama yetu mpendwa Mhe. Makinda.

Chama kimekupa heshima iliyotukuka. Kama mwanachama wa CCM nakaribisha mabadiliko haya kwa mikono miwili.

Maana tutakuwa tumefungua ukurasa mpya katika eneo la kuhakikisha Usawa wa kijinsia

Ndoto za mchana!
 
wapi nyie acheni maneno yenu mbona lowassa hakuja ukawa in the first place mpaka tulivomkata???
sio kila mtu anafit kuwa rais wa nchi unaweza kulinganisha uwezo wa jpm na makinda katika uongozi wa nchi???afu msitupangie tufanye nini,kama sisi ambavyo hatuwapangii mumchague nani awe mwenyekiti wa chama chenu
Tatizo unaandika ukiwa na imani kuwa mimi ni mtaa wa pili wakati wewe upo mtaa mwingine. Unakosea. Mimi huwa nachangia maada kadri ninavyoona inafaa bila kujali itikadi. Zaidi naangalia maslahi ya Tz. Utashangaa kusikia nilikuwa ukawa hadi Lowassa alipoingia kwa sababu siamini anaweza kuwa kiongozi mzuri bila kujali yupo ccm au ukawa!
 
Kulinganisha CCM na ANC ni kupotosha sana. ANC wana mfumo kama wa ACT-wazalendo, wana mwenyekiti na rais wa chama. Rais wa ANC ni Jacob Zuma na mwenyekiti ni Baleka Mbete. Hivyo kwa ANC, rais ndo kila kitu wakati kwa CCM mwenyekiti ndo mkuu wa yote.
 
Unaelewa utaratibu wa chama chako ccm kwamba mwenyekiti lazima awe rais

Kuna wakati wanachama wa ccm walijaribu kutaka kutenganisha URAIS na UENYEKITI wa chama chao na sababu kubwa iliyowafanya wawe na shauku hiyo ni jinsi Mwenyekiti wao ambaye pia alikuwa Rais wa nchi alivyokuwa anakiweka chama hicho rehani kwa wafanyabiashara na wao hawakuwa na jinsi ya kumthibiti, kwani pia alikuwa mkuu wa vyombo muhimu vya dola!! Walidhania kwa kufanya hivyo wangeweza kuondoa conflict of interest iliyokuwepo; hata hivyo Kikwete akiwa madarakani aliweza kuzima jaribio hilo la kutenganisha kofia ya Rais na mwenyekiti kwani alihisi kuwa hilo lilikuwa jaribio la kutaka kudhoofisha uongozi wake.

Hive sasa Kikwete sio Rais tena lakini bado ni mwenyekiti wa ccm. Rais Magufuli ndiye Rais wa nchi ambae kwa siku za mwanzo wa ungozi wake ameonesha nia ya dhati kabisa ya kutaka kuleta maendeleo ya nchi kwa kasi ya peke yake kwa kuhumiza watu wafanye kazi; kupiga vita ufisadi kwa vitendo na kuweza kukusanya kodi ya kutosha. Utendaji wa serikali ya Magufuli ni tofauti kabisa na utendaji wa awamu ya Kikwete hivyo kuweka wazi kabisa kuwa chama na serikali yake huko nyuma vilikuwa havifanyi kazi ipasavyo. Ni uwekaji hadharani huu wa udhaifu wa awamu zilizopita ndiko kunakowatisha Kikwete na wafuasi wake ndani ya chama kuwa iwapo Magufuli ataachiwa kuwa Mweneyekiti wa ccm na pia rais wa nchi kama ilivyozoeleka huko nyuma , anaweza kuwaumbua na kuwathibiti mafisadi wengi waliojificha kwa mgongo wa chama na ndio maana hivi sasa juhudi kubwa zinafanywa kumzuia asiwe mweneyekiti wa ccm . Vinara wakubwa wanaoongoza juhudi hizo ni Mwenyekiti wa ccm wa sasa anayetaka yeye mwenyewe aendelee ili aweze kutumia ngao hiyo ya uenyekiti kujikinga na maovu yake ama sivyo amsimike kibaraka wake achukue nafasi hiyo; na ndio maana wameanza kupima upepo kwa kuyataja majina ya kina Anna Makinda kuwa mmoja wa prospective wenyeviti wa ccm!!

Makinda amekuwa mwanachama wa siku nyingi na kusema kweli amekulia ndani ya ccm; huwezi kumtenganisha na uozo wote ulikuwa unatendeka ndani ya chama hicho. Kumuweka Makinda kama mwenyekiti wa chama hicho utakuwa mwendelezo wa mambo yale yale yaliyokuwa yanafanyika miaka nenda miaka rudi ambayo sasa hivi ndio majipu yanayotubuliwa na Rais Magufuli. Jinsi alivyolelewa na kukuzwa Anna Makinda ndani ya chama ni lazima atajaribu kuyaficha majipu hayo hivyo ili Magufuli afanikiwe kuyatumbua nilazima apewe uenyekiti wa ccm; iwapo itatokea watamyima na kumpa mtu ambaye atajaribu kuyaficha hayo majipu kwa kutumia mgongo wa chama hapo ni lazima kutatokea mgongano ambao kwa vyovyote vile Magufuli ambaye ndio ana dola atashinda, na ili kuepusha mgongano huo ni vyema Rais Magufuli akawa pia mwenyekiti wa ccm!
 
Mm,huyu tena.Kweli hii thithiem.
Kuna kila dalili kuwa Spika Mstaafu, Mhe. Mama Anne Makinda kumrithi Dr. JK uenyekiti wa chama Tawala, hii inajidhirisha wazi kutokana na uzoefu wa mwanamama huyu shupavu katika medani za kisiasa hapa nchini.

Chanzo kinasema, Katika kuhakikisha hoja jinsia inazingatiwa Chamani ni wakati muafaka UENYEKITI kushikiliwa na Mwana Mama kaka ilivyo kwa Chama rafiki cha AFRICAN NATIONAL CONGRESS (ANC) nchini Afrika kusini kinachoongozwa na mwanamama mahiri Mhe. Baleka Mbete. Kwa CCM Hongera mama yetu mpendwa Mhe. Makinda.

Chama kimekupa heshima iliyotukuka. Kama mwanachama wa CCM nakaribisha mabadiliko haya kwa mikono miwili.

Maana tutakuwa tumefungua ukurasa mpya katika eneo la kuhakikisha Usawa wa kijinsia
 
Kuna wakati wanachama wa ccm walijaribu kutaka kutenganisha URAIS na UENYEKITI wa chama chao na sababu kubwa iliyowafanya wawe na shauku hiyo ni jinsi Mwenyekiti wao ambaye pia alikuwa Rais wa nchi alivyokuwa anakiweka chama hicho rehani kwa wafanyabiashara na wao hawakuwa na jinsi ya kumthibiti, kwani pia alikuwa mkuu wa vyombo muhimu vya dola!! Walidhania kwa kufanya hivyo wangeweza kuondoa conflict of interest iliyokuwepo; hata hivyo Kikwete akiwa madarakani aliweza kuzima jaribio hilo la kutenganisha kofia ya Rais na mwenyekiti kwani alihisi kuwa hilo lilikuwa jaribio la kutaka kudhoofisha uongozi wake.

Hive sasa Kikwete sio Rais tena lakini bado ni mwenyekiti wa ccm. Rais Magufuli ndiye Rais wa nchi ambae kwa siku za mwanzo wa ungozi wake ameonesha nia ya dhati kabisa ya kutaka kuleta maendeleo ya nchi kwa kasi ya peke yake kwa kuhumiza watu wafanye kazi; kupiga vita ufisadi kwa vitendo na kuweza kukusanya kodi ya kutosha. Utendaji wa serikali ya Magufuli ni tofauti kabisa na utendaji wa awamu ya Kikwete hivyo kuweka wazi kabisa kuwa chama na serikali yake huko nyuma vilikuwa havifanyi kazi ipasavyo. Ni uwekaji hadharani huu wa udhaifu wa awamu zilizopita ndiko kunakowatisha Kikwete na wafuasi wake ndani ya chama kuwa iwapo Magufuli ataachiwa kuwa Mweneyekiti wa ccm na pia rais wa nchi kama ilivyozoeleka huko nyuma , anaweza kuwaumbua na kuwathibiti mafisadi wengi waliojificha kwa mgongo wa chama na ndio maana hivi sasa juhudi kubwa zinafanywa kumzuia asiwe mweneyekiti wa ccm . Vinara wakubwa wanaoongoza juhudi hizo ni Mwenyekiti wa ccm wa sasa anayetaka yeye mwenyewe aendelee ili aweze kutumia ngao hiyo ya uenyekiti kujikinga na maovu yake ama sivyo amsimike kibaraka wake achukue nafasi hiyo; na ndio maana wameanza kupima upepo kwa kuyataja majina ya kina Anna Makinda kuwa mmoja wa prospective wenyeviti wa ccm!!

Makinda amekuwa mwanachama wa siku nyingi na kusema kweli amekulia ndani ya ccm; huwezi kumtenganisha na uozo wote ulikuwa unatendeka ndani ya chama hicho. Kumuweka Makinda kama mwenyekiti wa chama hicho utakuwa mwendelezo wa mambo yale yale yaliyokuwa yanafanyika miaka nenda miaka rudi ambayo sasa hivi ndio majipu yanayotubuliwa na Rais Magufuli. Jinsi alivyolelewa na kukuzwa Anna Makinda ndani ya chama ni lazima atajaribu kuyaficha majipu hayo hivyo ili Magufuli afanikiwe kuyatumbua nilazima apewe uenyekiti wa ccm; iwapo itatokea watamyima na kumpa mtu ambaye atajaribu kuyaficha hayo majipu kwa kutumia mgongo wa chama hapo ni lazima kutatokea mgongano ambao kwa vyovyote vile Magufuli ambaye ndio ana dola atashinda, na ili kuepusha mgongano huo ni vyema Rais Magufuli akawa pia mwenyekiti wa ccm!
Umenikosha sana
 
Pamoja tutashinda. CCM Nambari Wani. UKAWA tupa kuleeeeeee
 
CCM ni chama cha ukombozi wa nchi nyingi za Afrika tunafahamika kwa kuleta UHURU wa nchi nyingi za kusini mwa bara letu kuanzia NAMIBIA, ZIMBABWE & AFRIKA KUSINI n.k
 
Kuna kila dalili kuwa Spika Mstaafu, Mhe. Mama Anne Makinda kumrithi Dr. JK uenyekiti wa chama Tawala, hii inajidhirisha wazi kutokana na uzoefu wa mwanamama huyu shupavu katika medani za kisiasa hapa nchini.

Chanzo kinasema, Katika kuhakikisha hoja jinsia inazingatiwa Chamani ni wakati muafaka UENYEKITI kushikiliwa na Mwana Mama kaka ilivyo kwa Chama rafiki cha AFRICAN NATIONAL CONGRESS (ANC) nchini Afrika kusini kinachoongozwa na mwanamama mahiri Mhe. Baleka Mbete. Kwa CCM Hongera mama yetu mpendwa Mhe. Makinda.

Chama kimekupa heshima iliyotukuka. Kama mwanachama wa CCM nakaribisha mabadiliko haya kwa mikono miwili.

Maana tutakuwa tumefungua ukurasa mpya katika eneo la kuhakikisha Usawa wa kijinsia

Ha ha CCM yenyewe hiyo sijui...naona haiwezekani maana hata uspika ashukuru mahangaiko ya akina Rostam kumdeal Sita
 
Hivyo mambo ya CCM yanavyoanza. Wanaanza na uvumi ili kupima upepo halafu wanakuja kufanya kweli. CCM kinadumu kwa fitina na sio kwa ukweli na uungwana. Huyu Magufuli anajifanya muungwana kwa hiyo kukosa kigezo cha kuongoza chama chetu. Yeye aendelee na majipu yake serikalini lakini lichama letu atuachie wenyewe. Tana.unachelea huyo mtumbua majipu kutuharibia kabisa chama tukimwachia maana ni mkurupukaji s
 
Back
Top Bottom