Tetesi: Makinda kumrithi JK Uenyekiti CCM

Tetesi: Makinda kumrithi JK Uenyekiti CCM

Mwenyekiti ni KINANA katibu ni Emmanueli NCHIMBI

Kama ccm kweli wanataka kuimarisha chama chao na kuutokomeza ufisadi ni mtu mmoja tu ambaye anafaa kuwa Mwenyekiti wa ccm kama wanataka kumruka Magufuli ni Mangula; he is a good strategist anaekifahamu chama na pia muadilifu hawezi kuyaficha majipu hivyo watafanya kazi vizuri na Rais!!! Nchimbi will be a disaster kwani ni mtu wa ndani wa Lowassa.
 
Kwa nini asiwe Magu kama ilivyo kawaida? au wanaogopa kutumbuliwa, maana huko ndiko uozo anaohangaika nao serikalini unakoanzia.
 
Pima ukubwa wa mamlaka ya Mwenyekiti wa chama Na raisi wa jamhuri,utagundua kwamba miaka kumi lazima amalize,japo kishingo upande watakubali tu!!

UOTE="andreakalima, post: 15332269, member: 87276"]Kuna kila dalili kuwa Spika Mstaafu, Mhe. Mama Anne Makinda kumrithi Dr. JK uenyekiti wa chama Tawala, hii inajidhirisha wazi kutokana na uzoefu wa mwanamama huyu shupavu katika medani za kisiasa hapa nchini.

Chanzo kinasema, Katika kuhakikisha hoja jinsia inazingatiwa Chamani ni wakati muafaka UENYEKITI kushikiliwa na Mwana Mama kaka ilivyo kwa Chama rafiki cha AFRICAN NATIONAL CONGRESS (ANC) nchini Afrika kusini kinachoongozwa na mwanamama mahiri Mhe. Baleka Mbete. Kwa CCM Hongera mama yetu mpendwa Mhe. Makinda.

Chama kimekupa heshima iliyotukuka. Kama mwanachama wa CCM nakaribisha mabadiliko haya kwa mikono miwili.

Maana tutakuwa tumefungua ukurasa mpya katika eneo la kuhakikisha Usawa wa kijinsia[/QUOTE]
 
Kuna kila dalili kuwa Spika Mstaafu, Mhe. Mama Anne Makinda kumrithi Dr. JK uenyekiti wa chama Tawala, hii inajidhirisha wazi kutokana na uzoefu wa mwanamama huyu shupavu katika medani za kisiasa hapa nchini.

Chanzo kinasema, Katika kuhakikisha hoja jinsia inazingatiwa Chamani ni wakati muafaka UENYEKITI kushikiliwa na Mwana Mama kaka ilivyo kwa Chama rafiki cha AFRICAN NATIONAL CONGRESS (ANC) nchini Afrika kusini kinachoongozwa na mwanamama mahiri Mhe. Baleka Mbete. Kwa CCM Hongera mama yetu mpendwa Mhe. Makinda.

Chama kimekupa heshima iliyotukuka. Kama mwanachama wa CCM nakaribisha mabadiliko haya kwa mikono miwili.

Maana tutakuwa tumefungua ukurasa mpya katika eneo la kuhakikisha Usawa wa kijinsia

Kwa kujitoa ufahamu uko vizuri!
 
CCM kina wakongwe na wenye uzoefu wa kimataifa, Mhe. Makinda ni moja ya hazina katika chama chetu. Heko CCM kwa maendeleo haya ndani ya miaka 39.
 
Back
Top Bottom