Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

Najua nilichokiandika.

Wewe ikiwa una Maarifa ongeza.
[emoji23][emoji23]hehe nilikuwa nakutania .

Kiukweli.

Paka wachawi..
Bata wachawi..
Kuku wachawi..
Mbwa wachawi..
Njiwa wachawi..
Mijusi wachawi.. na Panya ndio usiseme wachawi haswaaa.
Hata Hawa samaki wa baharini nasikia wanakuja na majini.[emoji119]

Hallelujah [emoji1690]
 
Ukikua utajua niongeacho.

Mimi nilikuwa katika vita halisi, Si ndotoni.

Najua ninachoongea, bt wewe usiyejua kutofautisha, mawazo, ndoto, maono na Ulimwengu wa Roho, huwezi elewa.
Hayo yaliyokutokea ni matokeo ya ulichokuwa unakiwaza muda mrefu na hilo la kumkuta mjusi kitandani usiku ama umetunga au mkeo hakutandika kitanda hivyo mlishusha chandarua tu na mjusi mkamfungia ndani ya chandarua awape kampani.
 
Hayo yaliyokutokea ni matokeo ya ulichokuwa unakiwaza muda mrefu na hilo la kumkuta mjusi kitandani usiku ama umetunga au mkeo hakutandika kitanda hivyo mlishusha chandarua tu na mjusi mkamfungia ndani ya chandarua awape kampani.
Mtumishi wa Mungu wa Kweli, siwezi kutunga stori ya uwongo.

Baba yangu ni mkweli.

Amen
 
"Kurudisha mahusiano na mungu kupitia yesu ambae ni mungu"

Tutakesha haoa mkuu wacha nikubali tu ndugu yangu MWOKOVU.
 
Wewe ndio ulitoka nje ya mada.

Ulisema kuhusu Adam na Hawa.
sasa umeshindwa baada ya kuona uongo unaoongea unasingizia nje ya mada.

Haya ndugu Rabbon.
Jitahidi upunguze uongo

Ahsante sana.
No comment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…