- Thread starter
- #121
Ukikua utajua niongeacho.Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea.
"Sijui aliwaza nini Afande Sele kuimba huo msitari?
Mimi nilikuwa katika vita halisi, Si ndotoni.
Najua ninachoongea, bt wewe usiyejua kutofautisha, mawazo, ndoto, maono na Ulimwengu wa Roho, huwezi elewa.