Yesu alipozungumza , ndiyo maneno ya Yesu? Hongera sanaKwa Nini unampinga Allah
Allah anasema
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
Yesu anasema
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Usikimbie swali"HUTAKI" kujibu nilichokuuliza ama "HUWEZI" kujibu nilichokuuliza?.
UNASAHU NILICHOKUULIZA AMA UNAJISAHAULISHA?.
NI JIBU NILICHOKUULIZA HUU UTOTO WA KUPOST MAPICHA PICHA SUBIRI WATOTO WENZIO SI MIMI.
Hilo linalo jiita Gavana, ni Jini kuu la Kiislamu.
Lipo ili Kumpinga Yesu Kristo, yaani ni Lipinga Kristo likimuunga mkono Nabii wake Mpinga Kristo Muhammadi.
Ni la kuliacha tu lisumbuke na Uungu wa Yesu.
Yesu yupo na atakuja siku ya Kiyama kulitupa Jehanamu (Motoni) pamoja na mtume wake.
Is next target... wangemdaka Putin hivyo; mfu au hai ingependeza sana na ingepunguza changamoto za dunia pakubwa! Hope yuko kwenye targets zao.
Wewe ni Jinni Mwislamu Popobawa.WAPINZANI WA YESU / ANTI CHRIST
Bwana Yesu Kristo alitumwa na Mwenyezi Mungu alifundisha mafundisho mazuri. Lakini baadaye wahalifu wake (Anti Christ) walikuja ambao waliharibu mafundisho yake mazuri.
Ningependa kuwataja baadhi yao ambao wametenda kinyume cha vitendo na mafundisho yake. Kwa mfano:
PAULO NI MPINZANI WA YESU
Yesu alisema:
1. Katika njia ya Mataifa msiende. (Mathayo 10:5). Lakini Paulo akafundisha:
A. Nimekabidhiwa Injili ya wasiotahiriwa. (Wagalatia 2:7, maandishi ya Paulo).
B. Amewafungulia mataifa mlango wa imani. (Matendo ya Mitume 14:27).
2. Yesu alitahiriwa sku ya 8 (Luka 2:21). Yohana alitahiriwa siku ya 8 (Luka 1:59). Paulo alitahiriwa siku ya 8 (Wafilipi 3:5) Lakini yeye mwenyewe alipinga kutahiriwa (Wagalatia 5:2-6).
Yesu alisema:
3. Msidhani kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atayezitenda na kuzifundisha , huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. (Mathayo 5:17-20).
Lakini Paulo anasema: Sheria ni laana. (Wagalatia 2:16-21, 3:10-13). Warumi 7: yote).
4. Bwana Yesu alisema: Msichukuwe dhahabu, wala fedha, wala mapesa mifukoni mwenu: (Mathayo 10:9).
Hivyo Wakristo wale ambao wanakusanya mali ni Madajjali (AntiChrist).
5. Bwana Yesu alisema: Lakini mimi nawaambia msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume mgeuzie na la pili. Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia. (Mathayo 5:39-40). Hivyo Wakristo wale ambao wanagombana ni Madajjal (Ant Christ).
6. Yesu pia alikataza kuitwa Kristo: Ndipo alipowakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20). Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni Madajjal (Ant Christ).
7. Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:35,
Luka 14:26, 12:51, 5:2)
Hivyo Wakristo ambao wanapenda amani wala hawatumii upanga ni Wapinzani wa Yesu (Anti Christ)
Allah alitaja sifa za mungu yeye Allah akajitoa akasemaYesu alipozungumza , ndiyo maneno ya Yesu? Hongera sana
Wameenda kupewa zawadi yao ya mabikra 72Mkuu wa magaidi ya Islamic state aliyekua amejificha kwenye pango Somalia, ameuawa na makomando wa Marekani, pia washirika wake kumi wamewahishwa huko peponi....
Poleni wenzetu humu JF ambao hutetea hawa magaidi kisa dini.............
US forces have killed an Islamic State leader, Bilal al-Sudani, and 10 of his operatives in northern Somalia, American officials say.
He was killed after US special forces raided a remote mountainous cave complex hoping to capture him.
"Al-Sudani was responsible for fostering the growing presence of ISIS in Africa," Defence Secretary Lloyd Austin said.
He also allegedly funded the group's activities globally, Mr Austin added.
Analysts say the fact that US troops were sent to kill or capture Sudani, rather than using a less risky drone strike, indicates his significance.
In recent years, the Islamic State group has reportedly expanded its activities into several African countries, including Mozambique and the Democratic Republic of Congo.
Wewe unaipinga hadi Qurani yako inayo sema Issa ni Masihi.WAPINZANI WA YESU / ANTI CHRIST
Bwana Yesu Kristo alitumwa na Mwenyezi Mungu alifundisha mafundisho mazuri. Lakini baadaye wahalifu wake (Anti Christ) walikuja ambao waliharibu mafundisho yake mazuri.
Ningependa kuwataja baadhi yao ambao wametenda kinyume cha vitendo na mafundisho yake. Kwa mfano:
PAULO NI MPINZANI WA YESU
Yesu alisema:
1. Katika njia ya Mataifa msiende. (Mathayo 10:5). Lakini Paulo akafundisha:
A. Nimekabidhiwa Injili ya wasiotahiriwa. (Wagalatia 2:7, maandishi ya Paulo).
B. Amewafungulia mataifa mlango wa imani. (Matendo ya Mitume 14:27).
2. Yesu alitahiriwa sku ya 8 (Luka 2:21). Yohana alitahiriwa siku ya 8 (Luka 1:59). Paulo alitahiriwa siku ya 8 (Wafilipi 3:5) Lakini yeye mwenyewe alipinga kutahiriwa (Wagalatia 5:2-6).
Yesu alisema:
3. Msidhani kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atayezitenda na kuzifundisha , huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. (Mathayo 5:17-20).
Lakini Paulo anasema: Sheria ni laana. (Wagalatia 2:16-21, 3:10-13). Warumi 7: yote).
4. Bwana Yesu alisema: Msichukuwe dhahabu, wala fedha, wala mapesa mifukoni mwenu: (Mathayo 10:9).
Hivyo Wakristo wale ambao wanakusanya mali ni Madajjali (AntiChrist).
5. Bwana Yesu alisema: Lakini mimi nawaambia msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume mgeuzie na la pili. Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia. (Mathayo 5:39-40). Hivyo Wakristo wale ambao wanagombana ni Madajjal (Ant Christ).
6. Yesu pia alikataza kuitwa Kristo: Ndipo alipowakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20). Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni Madajjal (Ant Christ).
7. Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:35,
Luka 14:26, 12:51, 5:2)
Hivyo Wakristo ambao wanapenda amani wala hawatumii upanga ni Wapinzani wa Yesu (Anti Christ)
Malizia dozi zako la utaruka Ukichaa hivi karibuni.WAPINZANI WA YESU / ANTI CHRIST
Bwana Yesu Kristo alitumwa na Mwenyezi Mungu alifundisha mafundisho mazuri. Lakini baadaye wahalifu wake (Anti Christ) walikuja ambao waliharibu mafundisho yake mazuri.
Ningependa kuwataja baadhi yao ambao wametenda kinyume cha vitendo na mafundisho yake. Kwa mfano:
PAULO NI MPINZANI WA YESU
Yesu alisema:
1. Katika njia ya Mataifa msiende. (Mathayo 10:5). Lakini Paulo akafundisha:
A. Nimekabidhiwa Injili ya wasiotahiriwa. (Wagalatia 2:7, maandishi ya Paulo).
B. Amewafungulia mataifa mlango wa imani. (Matendo ya Mitume 14:27).
2. Yesu alitahiriwa sku ya 8 (Luka 2:21). Yohana alitahiriwa siku ya 8 (Luka 1:59). Paulo alitahiriwa siku ya 8 (Wafilipi 3:5) Lakini yeye mwenyewe alipinga kutahiriwa (Wagalatia 5:2-6).
Yesu alisema:
3. Msidhani kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atayezitenda na kuzifundisha , huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. (Mathayo 5:17-20).
Lakini Paulo anasema: Sheria ni laana. (Wagalatia 2:16-21, 3:10-13). Warumi 7: yote).
4. Bwana Yesu alisema: Msichukuwe dhahabu, wala fedha, wala mapesa mifukoni mwenu: (Mathayo 10:9).
Hivyo Wakristo wale ambao wanakusanya mali ni Madajjali (AntiChrist).
5. Bwana Yesu alisema: Lakini mimi nawaambia msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume mgeuzie na la pili. Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia. (Mathayo 5:39-40). Hivyo Wakristo wale ambao wanagombana ni Madajjal (Ant Christ).
6. Yesu pia alikataza kuitwa Kristo: Ndipo alipowakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20). Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni Madajjal (Ant Christ).
7. Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:35,
Luka 14:26, 12:51, 5:2)
Hivyo Wakristo ambao wanapenda amani wala hawatumii upanga ni Wapinzani wa Yesu (Anti Christ)
😂😂😂Ila we jamaa😂😂!. Basi ngoja nikuache.Usikimbie swali
Huyo anayetupa taarifa Za Yesu hapo kwenye John 8:12 ndiye Yesu ?
Ukija Zanzibar waulize Wazanzibari swali hilo watakuona Chizi kwani kila mwanamume ametahiriwa labda wavamiz wakristo. Ni jambo la kawaida na hivyo hivyo ukienda arabuni utakuta ni tradition ilikuwa hata wasio waislamu. Wakitahiri watoto .2. Yesu alitahiriwa sku ya 8 (Luka 2:21). Yohana alitahiriwa siku ya 8 (Luka 1:59). Paulo alitahiriwa siku ya 8 (Wafilipi 3:5) Lakini yeye mwenyewe alipinga kutahiriwa (Wagalatia 5:2-6
Hivi Muhammadi alitahiriwa lini na wapi?
Kama kweli ni uzao wa Ibrahimu ?
Mwanzo 17:10 Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.
Naomba Aya Mpinga Kristo muhammadi, au Gavana, wakitahiriwa. Kama alivyo agiza Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi.
Wewe unaipinga hadi Qurani yako inayo sema Issa ni Masihi.
Surah Al-Im'ran: Ayah 45
إِذۡ قَالَتِ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ يَٰمَرۡيَمُ إِنَّ ٱللَّهَ يُبَشِّرُكِ بِكَلِمَةٖ مِّنۡهُ ٱسۡمُهُ ٱلۡمَسِيحُ عِيسَى ٱبۡنُ مَرۡيَمَ وَجِيهٗا فِي ٱلدُّنۡيَا وَٱلۡأٓخِرَةِ وَمِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ
Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).
Au leo kaka zako wa Kijini hawaja kuambia kuwa Masihi maana yake ni Kristo ?
Wewe Jini Maimuna, kwanini huwaulizi Majini wenzako maana ya Neno Kristo kuwa ni Masihi ?
Allah alitaja sifa za mungu yeye Allah akajitoa akasema
Allah anasema
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
Yesu anasema
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
2. Yesu alitahiriwa sku ya 8 (Luka 2:21). Yohana alitahiriwa siku ya 8 (Luka 1:59). Paulo alitahiriwa siku ya 8 (Wafilipi 3:5) Lakini yeye mwenyewe alipinga kutahiriwa (Wagalatia 5:2-6
Hivi Muhammadi alitahiriwa lini na wapi?
Kama kweli ni uzao wa Ibrahimu ?
Mwanzo 17:10 Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.
Naomba Aya Mpinga Kristo muhammadi, au Gavana, wakitahiriwa. Kama alivyo agiza Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi.
Naona umestuka sana haukutegemeaAnayetoa hiyo taarifa ni Yesu ??
Hapo jambo liko wazi yesu kusema hivyo hakumaanisha yeye ndie kasemehe ona imani ya hao watu imewafanya wasamehewe dhambi zao yani hata bibilia yako uielewiNaona umestuka sana haukutegemea
Koran 3:135.....na nani anaye futa dhambi isipo kuwa Mwenyezi Mungu?........
Meth 9:2 Hapo watu walimletea mtu mmoja aliyepooza mwili, amelazwa juu ya kitanda. Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Jipe moyo mwanangu! Umesamehewa dhambi zako.” 3Baadhi ya waalimu wa sheria wakaanza kufikiri, “Mtu huyu anamkufuru Mungu!”
Wewe ndio huielewiHapo jambo liko wazi yesu kusema hivyo hakumaanisha yeye ndie kasemehe ona imani ya hao watu imewafanya wasamehewe dhambi zao yani hata bibilia yako uielewi
Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....Anayetoa hiyo taarifa ni Yesu ??