Makomando wa Marekani waingia Somalia na kumuua mkuu wa magaidi wa IS

Makomando wa Marekani waingia Somalia na kumuua mkuu wa magaidi wa IS

Naona umestuka sana haukutegemea
Koran 3:135.....na nani anaye futa dhambi isipo kuwa Mwenyezi Mungu?........
Meth 9:2 Hapo watu walimletea mtu mmoja aliyepooza mwili, amelazwa juu ya kitanda. Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Jipe moyo mwanangu! Umesamehewa dhambi zako.” 3Baadhi ya waalimu wa sheria wakaanza kufikiri, “Mtu huyu anamkufuru Mungu!”

Tumekusikia sasa jibu swali


Anayetoa hiyo taarifa ni Yesu ??
 
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Usimsahau na huyu melchizedek

3. Without father, without mother, without descent, having neither beginning of days, nor end of life; but made like unto the Son of God; abideth a priest continually. ( Hebrews 7:13)

 
Wewe ndio huielewi
Math 9:6Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Inuka, chukua kitanda chako, uende nyumbani kwako.”
Pole kwa staili hiyo mtaendelea kuburuzwa.
Mungu anasema alimtoa yesu kusamehe kutokana na imani ya huyo mtu na hayo maandiko yako yote yanadhihirisha imani za wahusika

Soma warumi 3
25Mungu alimtoa Yesu kama njia ya kusamehe dhambi za watu kupitia imani katika yeye.

Mimi nikuache tu ikiwa bibilia yako tu hujui

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naona mmeshahama kwenye mada ya ugaidi na kuingia kwenye mambo ya dini.

Waharifu wote naomba washughulikiwe wao na isiwe dini zao.Uharifu hauna dini ndugu zangu.
 
Tumekuelewa kumbe ndivyo ulivyozaliwa au ulivyogeuzwa kanisani

Umetuletea hadithi , sasa kitabu chako mnachosema ni maneno ya mungu kinasema hivi

Hukumaliza aya , nakuwekea ya 11 na 12
11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given.

12 For there are gays who were born that way, and there are gays who have been made gay by others—and there are those who choose to live like gays for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”
Mbona ma-shule yenu ya kiislam yamekua ya mwisho mwisho kitaifa? Huko mashuleni mnafundisha watoto ngumi na umbea tu
 
Mbona ma-shule yenu ya kiislam yamekua ya mwisho mwisho kitaifa? Huko mashuleni mnafundisha watoto ngumi na umbea tu
Nyinyi mliokwenda mashile ya kwanza jibuni hili Swali


Mathew 9 :2 Anayetoa hiyo taarifa ni nani ?
 
Hivi yule alie jiita mume wenu mnamuonaje kwanza
Acheni ugaidi la sivyo mmarekani atawamaliza

Issue ilianzia kwa huyu
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
 
Acheni ugaidi la sivyo mmarekani atawamaliza

Issue ilianzia kwa huyu
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
Mpaka sasa kashafikia nusu ya kutumaliza au tambua Yesu anasema hiviMathayo 10:34
“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake,....



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom